Ivi ni nani alikuwa na HAKI KISHERIA kuandaa BOQ ya mkataba wa BANDARI?. Ktk normal tendering mtoa kazi (TANZANIA) ndio alipaswa kuandaa sifa za mbia (DP WORLD) anaetaka kumpa bandari na mbia alikuwa na jukumu la kuridhia matakwa ya mtoa kazi.
Ktk mazingira hayo mtoa kazi (TANZANIA) hatukutegemea aanze kuukana umiliki wa bandari zake Kwa (1) Kukabidhi majukumu yote ya Bandari zake Kwa mbia (2) kumpa bandari Kwa muda usio na ukomo (3) kulazimika kubadili sheria zake za ulinzi wa RASILIMALI za Taifa na kuweka zile anazotaka mbia (DP WORLD) (4) Kuondoa hadhi ya Mahakama zako kutatua migogoro ya mkataba huo na kuhamishia nchi za nje na (5) Kujiondolea haki yako kama TAIFA HURU (SOUVERAIN STATE) kufanya chochote ktk ardhi yako mpaka mbia (DP WORLD) aridhie.
Mambo hayo hapo yamenirudisha kutafakari MILA NA DESTURI ZETU wa TANZANIA na hata WAAFRIKA wengine linapokuja swala la familia A inapoombwa kuozesha bint Yao Kwa familia B. Katika hatua hii ni familia ipi Huwa na jukumu la kuandaa matakwa (masharti) ya kumtoa bint kwenda familia B??
Nijuavyo mm familia yenye Binti (TANZANIA) ndio huweka orodha ya mahitaji ambayo kama yatatimizwa na familia ya waposaji (DP WORLD) ndipo bint hutolewa na kuolewa na waposaji (DP WORLD). Kwa nn ktk MKATABA huu kadiri tunavyo somewa vipengele vyake vyote vinaonesha sisi TANZANIA ndio tuna COMPLY ktk matakwa ya DP WORLD wakati Mali ni yetu sisi?
HOJA YANGU NI JE?? MKATABA HUU TULIANDAA SISI WENYE MALI AU ULIANDALIWA NA WATAKA MALI KISHA SISI WAKATULETEA TU TUSAINI?
Kama ni ivo inaleta mashaka makubwa sana juu ya UADILIFU NA UWAJIBIKAJI wa WATAALAM wetu ktk kuandaa mkataba huu kiasi imekuja kugundulika hata power of attorney aliyotoa Mh Rais Kwa Waziri Mbarawa kusaini mkataba huu pia ilikuwa batili. Ni AIBU KUBWA kwetu kama NCHI (TANZANIA).
Ktk mazingira hayo mtoa kazi (TANZANIA) hatukutegemea aanze kuukana umiliki wa bandari zake Kwa (1) Kukabidhi majukumu yote ya Bandari zake Kwa mbia (2) kumpa bandari Kwa muda usio na ukomo (3) kulazimika kubadili sheria zake za ulinzi wa RASILIMALI za Taifa na kuweka zile anazotaka mbia (DP WORLD) (4) Kuondoa hadhi ya Mahakama zako kutatua migogoro ya mkataba huo na kuhamishia nchi za nje na (5) Kujiondolea haki yako kama TAIFA HURU (SOUVERAIN STATE) kufanya chochote ktk ardhi yako mpaka mbia (DP WORLD) aridhie.
Mambo hayo hapo yamenirudisha kutafakari MILA NA DESTURI ZETU wa TANZANIA na hata WAAFRIKA wengine linapokuja swala la familia A inapoombwa kuozesha bint Yao Kwa familia B. Katika hatua hii ni familia ipi Huwa na jukumu la kuandaa matakwa (masharti) ya kumtoa bint kwenda familia B??
Nijuavyo mm familia yenye Binti (TANZANIA) ndio huweka orodha ya mahitaji ambayo kama yatatimizwa na familia ya waposaji (DP WORLD) ndipo bint hutolewa na kuolewa na waposaji (DP WORLD). Kwa nn ktk MKATABA huu kadiri tunavyo somewa vipengele vyake vyote vinaonesha sisi TANZANIA ndio tuna COMPLY ktk matakwa ya DP WORLD wakati Mali ni yetu sisi?
HOJA YANGU NI JE?? MKATABA HUU TULIANDAA SISI WENYE MALI AU ULIANDALIWA NA WATAKA MALI KISHA SISI WAKATULETEA TU TUSAINI?
Kama ni ivo inaleta mashaka makubwa sana juu ya UADILIFU NA UWAJIBIKAJI wa WATAALAM wetu ktk kuandaa mkataba huu kiasi imekuja kugundulika hata power of attorney aliyotoa Mh Rais Kwa Waziri Mbarawa kusaini mkataba huu pia ilikuwa batili. Ni AIBU KUBWA kwetu kama NCHI (TANZANIA).