With $11bn Bagamoyo port, Tanzania prepares to take on EA hub Mombasa

Halafu watu Kama wewe mnakaa vijiweni kutwa mkilalamika kukosa ajira. Kila kitu kizuri serikali inachojaribu kufanya..kuna manyamela Kama wewe mnakashifu na kutoa statements za chuki.
Nenda kajenge bandari yako huko kwenu...ili uiendeshe itakavyokupendeza wewe. :mvutaji:

Asante, Tuwe wazalendo, pale serikali inapofanya vyema tuwape hongera zao, kwa hili hongera Kikwete..
 
Hizo 200km ni kilometa za mraba, na sio umbali ila eneo, kuna Haja ya kuomba taarifa sahihi ya haya mambo, in reality ni kweli uwezi Kuwa na bandari mbili zenye ukubwa huo ndani ya kilometa za mraba 200,
Ukweli mwingine ni kwamba by 2018 Tanzania lazima iwe na bandari mbili moja haitatosha, bandari ya Dar kuiuwa ni ngumu in anywa way, wachina sio wajinga wahivyo wanajua political effect ya jambo hilo, hizi ni propaganda za wakenya ili tuone Bandari ya Bagamoyo ni mauaji kwetu kumbe wanajikinga wao, IFM wamesha project mwaka wa sisi kuwapiga bao ni 2017 maana wako over saturated Kenya haina much room for economical grow wana limitation nyingi ( ardhi ya ukame ni kubwa,natural resource sio Kama za bongo, utalii tumeanza kuwapiga bao, etc etc )

Point mkuu ila wakati mwingine ukiangalia mambo yanavyokwenda nchi yetu hii unaweza kulia maana hizo bandari zilizopo tu zimetelekezwa inajengwa nyingine ya kiwango maana siamini kama mizigo yote inatakiwa ipite Dar kwani kuna mingine ingeweza kupita hata Mtwara na Tanga kulingana na wapi inakwenda pia hata urasimu usingekuwepo bila kusahau FOLENI ya magari Dar maana tunaangalia tu magari yaendayo kasi pia hata idadi ya magari yanayokuja Dar kufuata mzigo nayo yana mchango kwenye foleni pia. Sie ni wazee wa Trial and error
 
nngu007 Kimbunga, Borat69, ilboru1995,

..kwa uelewa wangu Kenya wanajenga bandari mpya eneo la Lamu.

..tayari jiwe la msingi limeshawekwa ktk mradi huo.

..binafsi nadhani ingekuwa vema kama tungelinganisha bandari inayotarajiwa kujengwa Bagamoyo, na ile ambayo imeshaanza kujenga ya Lamu.

Hope Bagamoyo port itakuwa kubwa kuliko ya Lamu, kwani hii itakuwa kubwa kuliko port yoyote katika ghuba ya gulf, ukiangalia yaweza kuwa katika Top Five au Ten ya Dunia ukitoa zile Bandari kubwa nne za China/Hong Kong Singapore. Kimsingi ni project nzuri provided tungelikuwa na uhakika na ToRs zake
 
watz sijui tuna nini maana utafikiri hii habari ndio imejulikana leo! Hili suala limezusha mjadala mkubwa nchini na nje ya nchi na katika conditions za ujenzi wa huu mradi imeonekana wazi kuwa unawasaidia zaidi wawekezaji mpaka Mh. Waziri aliulizwa na kusema aulizwe meneja mkuu wa TPA. Tuwe wakweli hii babdari inajengwa na wachina kwa 100%, wataiendesha kwa miaka 50 nahaitakiwi kuendeleza bandari kwenye umbali wa km200 ambazo hizo zinahusu Tanga na Dar es Salaam.
Anayeona anafurahia na kufaidika na baadhi ya hayo masharti basi awe wa kwanza kusema "
Tanzania prepares to take on EA hub Mombasa" na sio "China prepares to take on EA hub Mombasa"
 
Siku tukipa viongozi na sio watawala wazalendo walio jitoa kwa niaba ya wa tz tena wenye macho ya kuona fursa za kiuchum zinazotuzunguka Basi kuna nchi itaanzisha vita nas kwa sababu ya wivu tu!
 
Mkuu tuseme hapa kwetu wizi wa EPA Raisi akasamehe, MEREMETA, DOWANS, RICHMOND, RADA na manyanga kibao utasema ni CIA???ACCT za Uswiss, Caymans Island, na kwingineko fedha zimewekwa na CIA!!! Kampuni za PONONE, LAKE OIL,magholrofa kila kona, na sijui nini vyoote hivyo umefumba macho, unasikiliza propoganda za CCM na pro west sijui pro CHINA??? Kwani watu hawaoni mpaka waonyeshwe na CIA, watu wanafunguka macho mjomba ukiiba usitegemee watu watanyamaza eti ni CIA,utafuatwa tuu mpaka ulipe!!!!!

Mkuu hizo a/c za nje wasiliana na Zitto akupe details zaidi, MNCs tena za nchi za magharibi ndo zimewafungulia a/c hawa tunaowaita mafisadi! Ukiona ghorofa zinapanda ujue kuwa ni kiasi cha mrejesho wa Barrick et al kwa hawa tuliowapa dhamana ya kututawala...
EPA iliasisiwa na kuliwa na Agent wa CIA bw Daud Ballali... vitu vingine unaweza kusema wanasingiziwa lakini sisi tuliokuwepo wakati ule wanamfuta kazi Dr Rashid pale BOT tulishuhudia party ya nguvu ikifanywa na hawa makuwadi...Hawa akina maganga walilambishwa asali wakatamani kuchonga mzinga kabisa... sasa hivi upofu umewatanda ndo maana hakuna cha prof wala asiesoma wote wanaonekana sawa tu, kila mmoja yuko bize kupiga deal ...hushangai mama Tibaijuka kuidhinisha Hati ya yule mmiliki wa mbuga ya saadani tena kwenye korido? nae pia ni miongoni mwa EHM kwa taarifa yako...JK ana kazi ya ziada maana amezingirwa na moles! Lowassa ilikuwa lazima wamtimue maana haaminiki! Aliwahi kuharibu deal la City Water kama mtakumbuka...
 
nngu007 Kimbunga, Borat69, ilboru1995,

..kwa uelewa wangu Kenya wanajenga bandari mpya eneo la Lamu.

..tayari jiwe la msingi limeshawekwa ktk mradi huo.

..binafsi nadhani ingekuwa vema kama tungelinganisha bandari inayotarajiwa kujengwa Bagamoyo, na ile ambayo imeshaanza kujenga ya Lamu.

Kwa taarifa tu ni kuwa mradi wa kujenga bandari ya Lamu ulizinduliwa rasmi mwaka jana mwezi machi na gharama yake ni zaidi ya US$ 23 bilioni. Mradi huo ndiyo mkubwa kwa Afrika na utajumuisha ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta na reli itakayounganisha Kenya na Sudan ya Kusini.

BBC News - Lamu port project launched for South Sudan and Ethiopia
 
Last edited by a moderator:
Point mkuu ila wakati mwingine ukiangalia mambo yanavyokwenda nchi yetu hii unaweza kulia maana hizo bandari zilizopo tu zimetelekezwa inajengwa nyingine ya kiwango maana siamini kama mizigo yote inatakiwa ipite Dar kwani kuna mingine ingeweza kupita hata Mtwara na Tanga kulingana na wapi inakwenda pia hata urasimu usingekuwepo bila kusahau FOLENI ya magari Dar maana tunaangalia tu magari yaendayo kasi pia hata idadi ya magari yanayokuja Dar kufuata mzigo nayo yana mchango kwenye foleni pia. Sie ni wazee wa Trial and error
Move ya kujenga bandari mpya ni sahihi Dar itazidiwa kabisa na mizigo ifikapo 2017, lazima kuwe na bandari ya pili by then
 
Hivi mkuu nngu007 thamani ya bandari inayojengwa Bagamoyo ni $11 million au 1.1 million?
Ni $11 bilion sio Millions, hiyo unayosema hata CRANE za kisasa kwa bandari haitoshi kununulia, kwani jumba ya yule mchungaji ni dola millions ngapi?
 
NEWS


dar+port.jpg

Dar es Salaam port, which will be upgraded to allow more traffic. Experts predict a shift in the flow of trade from Kenya to Tanzania after the latter announced major infrastructure projects. Photos/FILE Nation Media Group

By JOINT REPORT Special Correspondent

Posted Saturday, May 11 2013 at 16:23

IN SUMMARY

  • The $11 billion Bagomoyo port will be bigger than the Dar es Salaam and Mombasa ports, tilting the scales of regional trade in favour of Tanzania.
  • Economists, business executives and trade experts say with the ongoing mega infrastructure projects, the region can expect a major shift in the flow of trade, with Tanzania set to have four ports by 2017, when Kenya will have only two.

Kenya’s status as the region’s logistics hub has again come under threat after Tanzania signed a deal with China to set up the bloc’s largest port and expand Dar es Salaam’s main airport.

The $11 billion Bagomoyo port will be bigger than the Dar es Salaam and Mombasa ports, tilting the scales of regional trade in favour of Tanzania.

Bagamoyo will have the capacity to handle 20 million containers a year, compared with Mombasa’s installed capacity of 600,000 and Dar es Salaam’s 500,000.

The country has also secured $164.3 million from the Netherlands for the expansion of the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam to ease pressing capacity constraints.


Tanzania also plans to construct a railway line linking its coast to the landlocked countries of Uganda, DR Congo, Rwanda and Burundi, which have hitherto used Mombasa-Malaba as the main transport corridor.


Meanwhile, Kenya’s efforts to upgrade facilities at the Jomo Kenyatta International Airport, expand the Mombasa port as well as construct the Lamu port, continue to lag behind schedule. Last month, the government cancelled a tender for the construction of a Ksh1 billion ($12 million) temporary terminal at JKIA.


The Kenya Airports Authority is yet to kick off the construction of the planned Ksh55 billion ($647 million) airport facility amid continuing procurement controversy.



The status of Mombasa as EAC’s hub has fluctuated wildly over the past few years, with delays in clearance of goods and glaring capacity challenges continuing to hurt regional trade through additional costs.




Geofrey Nkusi, a leading general merchandise importer and distributor in Kigali, knows this too well. He says he abandoned Mombasa three years ago and now ships his products through Dar es Salaam. He finds the route convenient, as there is only one border post at Rusumo.


“It takes me three days to deliver goods to Kigali through Tanzania. Mombasa port takes me seven days,” he says.



The World Bank estimates that inefficiency at the Mombasa port adds about 50-80 per cent to the time required to move imports to landlocked countries.



For low-value bulk commodities, which constitute the highest proportion of cargo entering Mombasa, port costs account for over 15 per cent of the delivered market value.



The World Bank estimates that it takes 20 days for a container cargo to get from Mombasa to Nairobi (This includes the time taken to clear the cargo and the road trip.); 22 days to Kampala and 24 days to Kigali. As a result, road transport costs and indirect costs of port delays account for 35 and 42 per cent of the cost of importation of transit cargo through Kenya by road.



Economists, business executives and trade experts say with the ongoing mega infrastructure projects, the region can expect a major shift in the flow of trade, with Tanzania set to have four ports — Bagamoyo, Dar es Salaam, Tanga and Mtwara — by 2017, when Kenya will have only two — Mombasa and Lamu.





Government officials in Uganda are said to favour the use of the southern route through Tanzania to end uncertainties Uganda faces while transporting goods from Kenya’s Mombasa port into the country.




As a result, Uganda is keen to see quicker construction of Tanga-Musoma railway line.




The existing ports, business players said, are poorly equipped and operate at low levels of efficiency. Few are capable of handling the largest of the current generation of ships, and are generally unprepared for the dramatic changes in trade and shipping patterns globally.




As such, they are lagging behind other regions even in the wake of a rise in containerised traffic.



“Lack of investment in infrastructure developments like the railways frustrates trade,” said Polycarp Igathe, chairman of the Kenya Association of Manufacturers.




“Mombasa port is perhaps the only one where 95 per cent of cargo is evacuated by road. This is totally unsustainable,” he added.




Kenya has also signed a deal with China for build a standard gauge railway between Mombasa and Malaba. But nothing much has been seen on this front.



Construction of the Bagamoyo Port is expected to begin later this year, with completion set for 2017.



Geoffrey Tindimwebwa, managing director at Unifreight Cargo Handling Ltd in Uganda, said the proposed Bagamoyo port offers a shorter route to the sea, while cutting costs.



“Goods are supposed to be cleared within 48 hours once they reach Mombasa port, but ships are forced to stay in the outer anchorage for 14 days before docking,” he said.



“The monopoly on the routes we use also encourages the placing of non-tariff barriers like roadblocks. Creating an alternative port to handle the cargo would lead to a reduction in the roadblocks, bribes and clearance time would be shorter too,” he said.



“These projects should be a wake-up call for Kenya to get its act together and improve investments and efficiency at the port,” said Christine Munywe, an official at the Shippers Council of East Africa.



Freight companies said Burundi and Rwanda were likely to divert most of their business to Tanzania. Rwanda had already begun doing so.



“More than 70 per cent of the cargo that previously went through Mombasa is now moving through Dar es Salaam. Kenya is likely to lose Rwanda and Burundi,” said Meshack Kipturgo, chief executive officer at Siginon Freight.



“It takes up to five days from the time a ship arrives to the time the trucks leave the port. This should come down to two days.”



Rwanda importers said extra costs charged at Mombasa port eat up their capital, advising port authorities to bear some of the fees as an incentive to attract more shippers.



“The delays eat up almost $1,500 on each trip. It costs about $5,000 to transport a container from Mombasa to Kigali and the delays result in importers losing $1,500 on each trip,” said Theodore Murenzi, secretary general of the Rwanda Transporters Association.



Kenya Ports Authority officials said the Bagamoyo port would be complementary to Mombasa port because the latter is operating beyond capacity.



Last year, the port handled 903,000 twenty-foot equivalent unit (teu) while Dar handled 580,000 teu. Mombasa port’s current capacity is 600,000 teu.



Meanwhile, KPA has progressed in the construction of the 1.2 million capacity second container terminal in Mombasa.



“The reclamation work on 100 acres from the Indian Ocean is almost over. Although the first phase was to stretch to 2016, contractors say it could be done by March 2015,” said KPA in a statement last week, adding the capacity is expected to hit a million teu this year.



Mombasa’s second terminal should be able to handle larger vessels, with a capacity of up to 6,000 containers. Previously, the port could only receive a ship carrying a maximum of 2,400 containers.



Data from KPA shows that Mombasa handled 20 per cent less cargo last year — 552,000 tonnes — destined for northern Tanzania and the inland countries of Rwanda, Uganda, Burundi and the DR Congo, a factor that industry players said was temporary.



“Some importers from the hinterland countries of Uganda, Burundi and Rwanda took the decision to use the Dar es Salaam port over fears that the general election in Kenya could be chaotic and disrupt the flow of goods as happened after the 2007 elections,” said Ms Munywe of the EA Shippers Council.



The stretched capacity of the Mombasa port is forcing it to turn down trans-shipment business, thus limiting Mombasa’s potential role as a regional hub.



According to Hannington Namara, CEO of the Rwanda Private Sector Federation, both ports are strategic for the country.



The overall cost of moving a tonne of freight along East Africa’s key trade routes is in the order of $200-$300, estimates the World Bank, and takes between 200 and 600 hours. The extensive dwell-times in ports and in Customs clearance accounts for about 80 per cent of the time.



Shortening those delays could greatly reduce the time needed to move imports from ports to landlocked capitals.



Reducing delays at ports alone could shave between $70 and $100 from the cost of moving a tonne of imports.



By Peterson Thiong’o, Scola Kamau, Dicta Asiimwe and Kabona Esiara








"China inapotoa mkopo, kuweka sharti kwa mkopaji na kutoa kitu kitakachoinusha na kutoa
mfano wa nchi ya Angola, ambayo ilipewa mkopo kwa sharti la kupatiwa visima vya gesi, hivyo
ni lazima Serikali ya Tanzania imetoa sehemu ya maliasili zake kwa mkopo huo",
zitto kabwe gazetti la Rai
Imeandikwa na Na Charles Mullinda
Alhamisi, Januari 17, 2013 06:16
 
Habari njema kwa wakazi wa Bagamoyo na maeneo jirani haswa ikiwa ili kile chuo cha uvuvi (Mbegani) kitaendelevya na sio kufa kama kilivyo sasa
 
Move ya kujenga bandari mpya ni sahihi Dar itazidiwa kabisa na mizigo ifikapo 2017, lazima kuwe na bandari ya pili by then

kwani lazima ijengwe nyingine wakati tuna bandari ya tanga na mtwara kwanini hizi bandari yasipanuliwe na kufanyiwa marekebisho kadhaa ili hizo pesa zingine zitumike katika kujenga nyumba za polisi ,walimu,madaktari na wanajeshi mukandala ulikua wapi ungemshauri dhaifu
 
Kwa taarifa tu ni kuwa mradi wa kujenga bandari ya Lamu ulizinduliwa rasmi mwaka jana mwezi machi na gharama yake ni zaidi ya US$ 23 bilioni. Mradi huo ndiyo mkubwa kwa Afrika na utajumuisha ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta na reli itakayounganisha Kenya na Sudan ya Kusini.

BBC News - Lamu port project launched for South Sudan and Ethiopia

Uko sahihi mkuu lakini, ukweli ni kwamba pamoja na ukubwa wa mradi wa Lamu, lakini Bandari ya Lamu itatumia $3.5Billion pekee na zilizobaki zitaelekeza kwenye accompanied project. Kimsingi kwa maelezo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo TEUs 20million, maana yake inaifanya hiyo bandari kuwa kubwa kuliko zote Afrika (yaani kuizidi Durban na ile ya Morocco) na eneo lote la Ghuba. Kimsingi ujenzi wa bandari hiyo ya Bagamoyo ni pigo kubwa sana kwa kenya kwani kutapelekea aidha kuchelewesha return ya mradi au kusitisha baadhi ya miradi inayohusiana kwa vile wakati wa estimates zao walizingatia kuwa hakutakuwa na Bandari shindani ya aina yake kwa kuwa bandari ya Lamu automatically ingeliiodhoofisha Bandari ya Dar, lakini sasa Bandari ya Bagamoyo itaidhoofisha bandari ya Lamu na Mombasa kwa kuwa Bagamoyo itakuwa Hub kwa zile Panamax ships. Kwa kifupi hii miradi miwili ni mfano wa ile game maarufu ya Prisoner's dilemma iliyochezwa baina ya Boeing na Airbus kama mipango yao ingekuwa inajulikana kabla.
 
kwani lazima ijengwe nyingine wakati tuna bandari ya tanga na mtwara kwanini hizi bandari yasipanuliwe na kufanyiwa marekebisho kadhaa ili hizo pesa zingine zitumike katika kujenga nyumba za polisi ,walimu,madaktari na wanajeshi mukandala ulikua wapi ungemshauri dhaifu
Tatizo ni kwamba hatujui au hatuna uhakika wa Terms of references za ujenzi wake, vinginevyo ujenzi wa Bandari kubwa na ya kisasa kama hiyo ni sahihi zaidi kwa nchi kama Tanzania ambayo inazunguukwa na Land locked countries nyingi. Uju hizi habari za bandari wakati mwingine ni kama biashara ya mabenki ilivyo, ikifilisika Bank moja, na nyingine huathirika kutokana na withdrawal, vilevile katika bandari meli na wafanyabiashara wakishajiridhisha kuwa bandari A ni hub, basi bandari B ilie. Ujenzi wa Bandari ya Lamu kimsingi ulikuwa unaua bandari ya Dar (strategically) na kuhamisha wafanyabisha wote wa central Afrika kutumia aidha Lamu au Mombasa kutokana na uwezo wa kupokea meli kubwa na ufanisi wa utoaji mizigo. Hivyo ujenzi wa hiyo Bagamoyo ni ushindani wa nani ata-host Eastern Hub kitu ambacho kitadhoofisha sana project ya Lamu.
 
kwani lazima ijengwe nyingine wakati tuna bandari ya tanga na mtwara kwanini hizi bandari yasipanuliwe na kufanyiwa marekebisho kadhaa ili hizo pesa zingine zitumike katika kujenga nyumba za polisi ,walimu,madaktari na wanajeshi mukandala ulikua wapi ungemshauri dhaifu

Binafsi naamini kabisa wangeboresha bandari zetu za Dar,Tanga na Mtwara sambamba na kufufua njia ya reli ya kati na ile ya Tanga pamoja na TAZARA kama ingewezekana tungeona mabadiliko makubwa sana. Tatizo la hii nchi yetu ni pale watawala walipoamua kwa makusudi na kwa masilahi yao binafsi kuwafunika ama kutothamini ushauri wa wataalamu na kuendesha nchi jinsi wanavyofikiri wao na kushauriwa na marafiki/ndugu zao.
 
Mkuu nngu007, tufuatane kwenye RED! Ukishasikia wanasema kwenye nchi fulani hakuna demokrasia basi ujue kuwa interest zao zimebinywa na wanatafuta njia ya kuiangusha serikali husika, Hata Libya, Iraq na kwingineko walianza kwa style hii!

Kiongozi Imara mwenye kukataa sera zao ama alieamua kufuta mikataba mibovu kama Hugo Chavez na Rais wa Equatorial Guinea, Ghadaffi, Mugabe et al huwa wanawaita madokteta na kuwa hawafai kutawala badala yake viongozi dhaifu wenye kuruhusu rasilimali zao kukwapuliwa huwa wanasifiwa kuwa ni viongozi bora wapenda demokrasia...

Typical style ya CIA, huwa inawalisha chambo kisha wanawanasa kwa vijizawadi vya kufunguliwa a/c zenye dolla nyingi ughaibuni! Hapa kwetu tayari kunawatu wamewekewa mabilioni Uswis, siku wakianza kutumia hizo dola na deal lisifanikiwe lazima watazitema tena kwa mbwembwe kwa kufreez a/c husika!

Tayari mwenye umeshaainisha kuwa makampuni ya kimarekani ndo yaliyomuwekea fedha huyo dogo! Haya yasingetokea kama baba yake asingefuta mikataba ya uchimbaji mafuta na kuwapatia wachina...

Kumbuka kuwa CIA siku zote huwa wanaanza kwa kuwatenganisha na kuwagawa Jamii kwa kuchochea uasi thru NGOs, wamefanya hivi na kufanikiwa sehemu nyingi duniani zikiwemo za kiarabu, hii inakuwa ni hatua ya kwanza, Hatua ya pili huwa wanawatuma Jacko! ambao huwaandalia viongozi vifo vyenye kufanana na ajali! Hatua hii ikishindikana huwa wanakuja na slogan ya no fly zone...mwisho wa siku wanakutumia marine ...

Mkuu, hatakama wewe ni pro west basi jaribu kufunua macho maana haya mambo hayafanyiki wa kificho tena...


"China inapotoa mkopo, kuweka sharti kwa mkopaji na kutoa kitu kitakachoinusha na kutoa
Mfano wa nchi ya Angola, ambayo ilipewa mkopo kwa sharti la kupatiwa visima vya gesi, hivyo ni lazima Serikali ya Tanzania imetoa sehemu ya maliasili zake kwa mkopo huo"

Zitto Kabwe Gazetti la Rai
Imeandikwa na Na Charles Mullinda
Alhamisi, Januari 17, 2013 06:16
 
Back
Top Bottom