Hata changu ni kigumu sana eneo la wino na kama pana ganzi vile.
Changu kimekatika kabisa, niko hos muda huu!!
Wangekuwa wadada ningesema mmeanza kutukera na u sister du, sasa nyinyi wote mnaolalamika naona ni wakaka, sijui niwaambie nn! Ngoja ntarudi na jibu lenu, ngoja nimsikilize lubuva hapa kwanaza
Una uhakika gani ni wakaka??? Kwani ww wino umeshatoka kwenye kidole chako au ndo yale yale ya kutetea hata upuuzi???
Sasa wewe wino unakupa shida gani, au basi tu ili mradi mtupigie kelele hapa, we unashindwa kupata deal ya pesa kisa wino kidoleni, achane akili mbovu tafuta ela!
Sio kweli! labda kidole chako ni cha bandia, au ni cha cement. me mbona bado upo na kidole kiko poa? na huu wino siufuti kamwe! mpaka Magufuli anatangazwa mshindi
Loweka hicho kidole kwenye dawa ya madoa kwa muda masaa 24 ili kuukomesha kabisa huo wino
Sio kweli hata kidogo
Acha kuingiza siasa kwenye mambo ya misingi. Kama wewe hujapata hayo madhara ni wewe acha kubishia wakati ukweli upo.
Nikweli ngozi ya kwenye kidole ina kakamaa. Je tutumie nini kuifuta maana nimetumia kila kitu haifutiki.
Mkuu hakuna utani ni wino bana. Mbona kadri ziku zinapita kinakaa sawa. Si mimi tu hata wengine. Nao wana matatizo? Acha hizo mkuu.Angalia pengine un matatizo yako usije kusingizia wino