Wimbo wa Kiswahili wa BABA YETU (gospel) wakonga nyoyo za wakazi wa Dubai Uarabuni

Dubai Fountain ni moja kati ya vivutio vikubwa vya kitalii vikubwa Dubai na ni moja kati ya water fountain kubwa ulimwenguni.

Dubai Fountain mara nyingi huchezwa nyimbo maarafu kama wa Whitney Houston I will always love you na Michael Jackson thriller.

Cha kushangaza ni hivi karibuni Dubai Fountain kucheza wimbo wa "BABA YETU" The Lord's Prayer kama video inavyoonesha tena wa kiswahili na watu wengi wameonesha kuvutiwa sana na wimbo huo na kuusifia sana mitandaoni na imekua ni gumbo mitandaoni na hapaYeah hapa :D Dubai :)of course I am in Dubai currently. No offense stay cool :rolleyes::rolleyes:
Back to the topic.

Mchango wenu ukoje kwenye swala la
1. Kiswahili
2. Tanzania
3. Dini (majority of Dubai citizens are Muslims and its a Muslim Emirate Vs Christian Song)
4. Wafia dini wanalichukuliaje hili swala in different angles?
5. Upekee wa Dubai ulimwenguni.

Note: wimbo kuchezwa kwenye the dubai fountain ni swala linaloratibiwa na dubai authorities na hugharimu pesa nyingi kwa maandalizi na pia huchukua muda mrefu mpaka kuchezwa nyimbo mpya.

Karibuni........

Amaizing
 
Uongo. Hakuna mkristo mkristo anayeweza kununua album,cassete au dvd yenye mafundisho ya kiislam. Huu ni uongo mkubwa sana. Utaenda moton kwa uongo huu kama usipotubu. Ukristo si jina au uislam si jina. Ni iman na matendo. So haiji kutokea ukristo wa biblia ukakubaliana kiimani na uislam hata malaika washauri na hali kadhalika uislam na ukristo ni iman mbili tofaut




Maendeleo ya technologia yanatufanya tuwe waamini tofauti na waamini wa zamani.

1. Kuna baadhi ya watu wamependa melody tuu bila kujali kinachoimbwa ndani yake

2.Zamani ndio ilikuwa vigumu kwa mkristo kusikiliza kaswida na muislamu kusikiliza kwaya lakini siku hizi mtu ananunua album yenye maneno ama melodia inayomburudisha na kumliwaza bila kujali nani kaimba. Hivyo siku hizi wakristo wana album za mafundisho ya kiislam na waislam wana album za mafundisho ya kikristo.
 
Uongo. Hakuna mkristo mkristo anayeweza kununua album,cassete au dvd yenye mafundisho ya kiislam. Huu ni uongo mkubwa sana. Utaenda moton kwa uongo huu kama usipotubu. Ukristo si jina au uislam si jina. Ni iman na matendo. So haiji kutokea ukristo wa biblia ukakubaliana kiimani na uislam hata malaika washauri na hali kadhalika uislam na ukristo ni iman mbili tofaut
Mimi ni mkatoliki kindakindaki,,, tena conservative amambaye ibada isiposomwa au kuimbwa kilatini (gregorian chant) na kukomunika nikiwa nimepega magoti na kupokea kwenye ulimi na sio mkononi siamini kama nimesali lakini huwa ni mpenzi na mfuatiliaji wa mawaidha kuanzia kwa ALIYEKUWA MUFTI WA TANZANIA SHEIKH HEMED BIN JUMAA ( R.I.P) , SHEIKH MKUU WA DAR ES SALAAM KWA SASA , PAMOJA NA SHEIKH MMOJA HUWA ANAPENDA SANA KUTOA MAWAIDHA KUPITIA T.B.C simfahamu jina lake ila huwa wanavaa nguo za kijani na jinsi wanavyoendesha ibada ni tofauti kidogo na waislam wengine. Mawaidha yao wote ni mazuri yenye kujenga na ninayapenda sana.
 
Maendeleo ya technologia yanatufanya tuwe waamini tofauti na waamini wa zamani.

1. Kuna baadhi ya watu wamependa melody tuu bila kujali kinachoimbwa ndani yake

2.Zamani ndio ilikuwa vigumu kwa mkristo kusikiliza kaswida na muislamu kusikiliza kwaya lakini siku hizi mtu ananunua album yenye maneno ama melodia inayomburudisha na kumliwaza bila kujali nani kaimba. Hivyo siku hizi wakristo wana album za mafundisho ya kiislam na waislam wana album za mafundisho ya kikristo.
Aaah!mie za mafundisho ya kiislamu labda ya Sheikh Kipozeo tu baas!
 
Biblia inasema yesu hatarudi hadi neno limfikie kila mmoja ahukumiwe kwa haki, hata mawe yatalitukuza jina lake yeye aliye juu.
Efeso 2:10 kila goti litapgwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni Bwana kwa utukufu wa Mungu baba
 
unaweza kuwa mkatoliki lakini usiwe Mkristo au Mfuasi wa kristo. unaweza kuwa Mluther ukawa si Mkristo. Mkristo ni anayefuata Mafundisho ya Kristo huyu hubaki kuwa na Kristo tu na huwa hajitanabaishi kwa dini/dhehebu. so hayo uliyoongea yote ndiyo nliyokuwa nazungumza.mkristo mfuasi wa kristo atakwambia kuwa mungu wa kiislamu ni tofaut na Mungu wa kikristo. mimi nazungumza nikiwa naifaham quran kwa kuisoma si kwa kusikiliza mawaidha.

Mimi ni mkatoliki kindakindaki,,, tena conservative amambaye ibada isiposomwa au kuimbwa kilatini (gregorian chant) na kukomunika nikiwa nimepega magoti na kupokea kwenye ulimi na sio mkononi siamini kama nimesali lakini huwa ni mpenzi na mfuatiliaji wa mawaidha kuanzia kwa ALIYEKUWA MUFTI WA TANZANIA SHEIKH HEMED BIN JUMAA ( R.I.P) , SHEIKH MKUU WA DAR ES SALAAM KWA SASA , PAMOJA NA SHEIKH MMOJA HUWA ANAPENDA SANA KUTOA MAWAIDHA KUPITIA T.B.C simfahamu jina lake ila huwa wanavaa nguo za kijani na jinsi wanavyoendesha ibada ni tofauti kidogo na waislam wengine. Mawaidha yao wote ni mazuri yenye kujenga na ninayapenda sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom