Kwaya moja ys arusha Kkkt nadhaniWakuu nani walipiga wimbo huu na ni lini? Nimeusikia kwa miaka mingi na hauchuji.
Arusha Town Choir Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, Unasumbua kuleta huku upo youtube, siku hizi wameuchakachua kidogo pale mwanzo wameongeza keyboard ya kisasa lakini wakianza kuimba ni original. Labda tutumie nafasi hii kumtafuta mtunzi na mwandishi wa hii nyimbo.Itupie basiiiiii
Wakuu nani walipiga wimbo huu na ni lini? Nimeusikia kwa miaka mingi na hauchuji.