Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Nimekuwa mpenzi mkubwa sana wa nyimbo za marehemu Roger Troutman. Kwa wale vijana wa zamani watakuwa wanazifahamu nyimbo zake za Computer love na I want to be your man. Siku moja nilishangaa kusikia anaimba na hawa waimbaji wa Gospel. Nilikuwa na cd yao ila sikufahamu kuwa Roger aliamua kuongeza kinanda chake (Talk Box) na kuufanya huu wimbo ubadilike kabisa.
Kwa vijana wa miaka ya 2000, Roger ndiye aliweka ile sauti ya talk box kwenye wimbo wa Tupac wa Carfonia Love, Johnny Gill (your body), Keith Sweat (Put your lovin' through the test) na nyingine nyingi.
Leo nakuleteeni huu wimbo kwa wale wote wanaokata tamaa kuhusu mapambano ya kuibadilisha Tanzania. Na kwa mafisadi na wapambe wao wote lazima MSIKILIZE maneno mazito yaliyo kwenye huu wimbo kuwa THE CHANGE IS COMING - Just hold on......
Sorry kwa watu mlio na speed ndogo za kuangalia Youtube. Someni tu walau maneno na tuendelee na VITA ya mabadiliko. Mungu Ibariki Tanzania.
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=tlBvVbhDpRA[/ame]
Live version:
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=Av9OoWJfxNA&feature=related[/ame]
Kwa vijana wa miaka ya 2000, Roger ndiye aliweka ile sauti ya talk box kwenye wimbo wa Tupac wa Carfonia Love, Johnny Gill (your body), Keith Sweat (Put your lovin' through the test) na nyingine nyingi.
Leo nakuleteeni huu wimbo kwa wale wote wanaokata tamaa kuhusu mapambano ya kuibadilisha Tanzania. Na kwa mafisadi na wapambe wao wote lazima MSIKILIZE maneno mazito yaliyo kwenye huu wimbo kuwa THE CHANGE IS COMING - Just hold on......
Sorry kwa watu mlio na speed ndogo za kuangalia Youtube. Someni tu walau maneno na tuendelee na VITA ya mabadiliko. Mungu Ibariki Tanzania.
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=tlBvVbhDpRA[/ame]
Live version:
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=Av9OoWJfxNA&feature=related[/ame]
Yesterday, a man stepped to me, said,how can you smile when your world is crumbling down, I said, heres my secret when I wanna cry, I take a look around and I see that im getting by,and I hold on..
Chorus
Hold on, change is coming, hold on, dont ya worry about a thang, hold on, you can make it, hold on everything will be alright..
Verse 2
Some people like to worry, some people like to hide, some people like to run away from the pain inside, now dats yo bussiness
do whatever you wanna do, but if it dont work out heres what you ought to do..hold on
Chorus
Verse 3
When the troubles of life, weigh ya down, jus lift ya head up, ya,ya,yea
when the love you seek,is hard to find,
dont give up just be strong, keep the faith and hold on..
Chorus
(talking)..
Chorus