Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
Kwenye 80s kulikuwa na Wimbo ukiimbwa na Vijana Jazi (Kama Sikosei), baadhi ya maneno yake yalikuwa yakisikika kama hivi
"... Kuniletea Mke mwenzangu ndani ya Nyumba Si Jambo la kushangaza hilo...
" Kinachoniuma ni kulala sebuleni mimi na watoto..."
Sijui kama mtunzi alikuwa anaimba "real life story" au ni hali ya kubuni
Najaribu kufikiria nyakati kama hizi za leo, Obuntu unaingia nyumbani na hawala, halafa unamwambia Mkeo akupishe ulalae chumbani na hawala, yeye akalale sebuleni! Sipati picha!
"... Kuniletea Mke mwenzangu ndani ya Nyumba Si Jambo la kushangaza hilo...
" Kinachoniuma ni kulala sebuleni mimi na watoto..."
Sijui kama mtunzi alikuwa anaimba "real life story" au ni hali ya kubuni
Najaribu kufikiria nyakati kama hizi za leo, Obuntu unaingia nyumbani na hawala, halafa unamwambia Mkeo akupishe ulalae chumbani na hawala, yeye akalale sebuleni! Sipati picha!