watachemka tu hata mimi nimemuona anabwabwaja bwabwaja na ndevu zake hawana jipya tumeshawachoka wanastuka muda ambao watanzania wameshafumbuliwa macho na vyama vya upinzani hasa chadema imetoa elimu ya uraia sana kwa wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.