waaambie wasiokua watoto wa wakubwa wachukue fomu wagombee,huungi mkono umekaa mbele ya computer unapost,kachukue fomu ugombee dhidi yao.wao wanachukua fomu wanashindana wanashinda huwezi sema wamerithi,sioi ameshinda kura za maoni mara mbili,na sasa kura zenyewe jpili akishinda utasema karithi?Tumechoka kurithishana madaraka, maana tunajenga msingi mubovu amba unaweza kutugarimu vibaya hapo baadae au sisi tukipona unaweza kuliangamiza taifa lijalo.
Kwahiyo; mimi sioni umuhimu wa kuendelea kukabidhi uongozi kwa watoto wa viongozi walewale, na hatawewe nakutahadharisha maana tukiendelea hivi vijana kutoka familia zisizokuwa kwenye uongozi hawatapata uongozi so it is possible to find an altenative way to overcome this situation na ikawa mbaya kwa Tanzania yetu, binafisi mimi simuungi mkono