i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
@NY city Le bahariasijakuelewa mkuu
huyu ni nani ?
anakwenda kwenye kamati kuu ipi ?
anakwenda kufanya nini ?
tafadhari sana tupe up date.
Tumechoka kurithishana madaraka, maana tunajenga msingi mubovu amba unaweza kutugarimu vibaya hapo baadae au sisi tukipona unaweza kuliangamiza taifa lijalo, kwahiyo mimi sioni umuhimu wa kuendelea kukabidhi uongozi kwa watoto wa viongozi walewale, na hatawewe nakutahadharisha maana tukiendelea hivi vijana kutoka familia zisizokuwa kwenye uongozi hawatapata uongozi so it is possible to find an altenative way to overcome this situation na ikawa mbaya kwa Tanzania yetu, binafisi mimi simuungi mkono
thanksni mtanzania mwenzetu
anagombea ubunge wa east africa.
kamati kuu ya chama cha mapinduzi
duh ... mbona kama anatumia supu ya mawe
Huyu kijana wetu wa siku nyingi sauti ya umeme, leo majina yao yanaenda kamati kuu tunamuombea mema wasije wakafanya mchezo mchafu ..bora huyu apite kwani tuko karibu naye sana
Remeber niini jukwaa la siasa.duh ... mbona kama anatumia supu ya mawe