William Malecela,
Ndugu yangu, sikia ushauri unaopewa. Wewe ni mtu mzima. miaka 50 siyo kidogo. Tafakari hatima yako, haya mambo ya kuzunguka na wakina Wema, sintah, miss tanzania hayana tija katika harakati zako. Kila mtu anakuona kama vile haujakomaa siyo tu kisiasa bali hata kisaikolojia kiasi cha kupewa uongozi.
Nina imani, Rais Kikwete angeshakupa hata ukuu wa wilaya, lakini ww kila siku hupo kwenye klabu na mademu lukuki. Nakushauri ufunge blog lako, punguzi kujianika kwenye mitandao na pia utafakari mbele. Tabia unazoonyesha kwa sasa hazina toauti na za Mange (mtoto wa dadako). Kwa mtu msomi mweye upeo, nadhani haya yote ungeshayaona. Kumbuka una familia, watoto na mke. Hata kama mmeachana lakini bado ni mama watoto wako. Usijishushie heshima katika jamii
Come on William. Unawezaje kuzunguka na Mange, Sintah na Wema? seriously!
Kiongozi ni kioo cha jamii. Pale vijana wadogo ambao wengi wao ndio wapiga kura watakapokuona wa maana kwa kufanya vitu vya maana badala ya kujiita majin aya ajabu kama mvuta bangi wa kijiweni, mara LeBaharia, LeMutuz, bigshow, etc.. watakupigia kura, zaidi ya hayo, nadhani utaendea kuwa msindikizaji.
Mwone vicky Kamata, Catherine magige ambao hata kusoma sijui kama wanajua wako bungeni, wewe ni zaidi yao mara kumi, il akwa mwendendo huu ndugu yangu, safari itakuwa ndefu sana. Ushauri tu. Ila ukweli ni dawa, naomba uimeze utapona. Kumbuka wewe ni mtoto wa kiongozi mambo yenu ni mswano. Ni kiasi cha simu au note, lakini wewe kwao hata hao viongozi utaonekana mtu asiye bebeka.
Watoto wa Mwinyi, Makamba, Nchimbi, Nnauye, Kawawa,Sokoine, ec..wote wanabebwa kwa nini wewe usibebwe? Pengine kwa sababu wewe ni mzito sana na hii inatokana na zigo la wakina Wema na Mange ulilojitwika mwenyewe. Mtoto wa mkulima anasota miaka karibia 15 kufikia hapo ulipo, wewe tu kushuka majuzi toka NY, umeshakutuna na viongozi karibia wote. Kwa nini wasikulazimishie hata ka cheo?
Jibu mwenyewe kwani wanao wanakuwa na wanakusubiria kule Mt. Vernon. Kadhalika wapo katika umri wa kusoma mitandao na kuona picha zako na Vimwana
Mkuu kwenda kwenye starehe na kupumzika mahala na watoto wazuri sio kosa.Ha ha haaaaa,Idawa bwana! 1: So hao wakuu wa chama wanaona wivu? 2:Hicho ndiyo kigezo pekee cha kumnyima mtu uongozi? Weekend stuff: Idawa ,So u mean we shud ignore cuttie pies and mak dem feel unimportant, kinda difficult wud giv it a try....lol Mwacheni Willy aishi Maisha yake halisi bwana.....
- Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!
REPECT MUCH!
William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!
mkuu kwenda kwenye starehe na kupumzika mahala na watoto wazuri sio kosa.
Ila as a prudent man kama umeamua kufanya siasa tunatarajia mtu mzima ukipata nafasi ya kujitokeza kwenye mitandao na vyombo vya habari ni muda muafaka wa kuonyesha yale yanayopendezwa na wengi hasa kwenye career uliyoamua kujishuhulisha nayo officially.....
Mkuu, hapo kwenye red tuko pamoja sanaIngawa sikukubali kama kiongozi, nawasikitikia waliokuchagua. Sababu ni mwendelezo wa ccm kuchagua incompetent persons kwenye nafasi zao za uongozi. Mapendekezo yangu kwa mods ni kuifuta au kurekebisha hii thread sababu imepoteza maana unless ithibitishwe tofauti na unayoyasema hapa. Na aliyeileta pamoja na wengine wote wanaoleta thread zisizo za ukweli, wapigwe life ban hasa inapothibitika imeletwa kwa makusudi ya kupotosha. Hiyo itasaidia kurudisha heshima ya jf! Ni hayo tu.
ingawa sikukubali kama kiongozi, nawasikitikia waliokuchagua. sababu ni mwendelezo wa ccm kuchagua incompetent persons kwenye nafasi zao za uongozi. Mapendekezo yangu kwa mods ni kuifuta au kurekebisha hii thread sababu imepoteza maana unless ithibitishwe tofauti na unayoyasema hapa. Na aliyeileta pamoja na wengine wote wanaoleta thread zisizo za ukweli, wapigwe life ban hasa inapothibitika imeletwa kwa makusudi ya kupotosha. Hiyo itasaidia kurudisha heshima ya jf! Ni hayo tu.
mkuu kwenda kwenye starehe na kupumzika mahala na watoto wazuri sio kosa.
Ila as a prudent man kama umeamua kufanya siasa tunatarajia mtu mzima ukipata nafasi ya kujitokeza kwenye mitandao na vyombo vya habari ni muda muafaka wa kuonyesha yale yanayopendezwa na wengi hasa kwenye career uliyoamua kujishuhulisha nayo officially.
Kuna kitu kinaitwa ulimbukeni, ni ngumu sana kumgundua limbukeni ila kama mtu umeamua kufanya jambo la starehe na asubuhi unataka kila mmoja kujua ulilotenda usiku wa manane na vimwana tena wenye kashfa za kimaadili mbele ya jamii tena kwa kutumia vyombo vilevile vya habari alivyovitumia kutangaza nia yako ya nafasi ya kisiasa mbele ya jamii ni dhahiri kwa jamii hii ya kiafrika/kitanzania utaonekana ni mtu uliyekosa maadili.
Hakuna anayeingilia maisha yake, ila anapata changamoto ya haya anayoyafanya kijamii hasa ukizingatia ameonyesha nia ya kuwa mmoja wa wasimamizi wa kisiasa kwenye rasilimali za watanzania maskini wenye kutanguliza imani na maadili juu ya msimamizi ambaye atahitataji kuwasimamia.
Hapa ni Afrika/Tanzania.
Mi sielewi kwanini watu mnawashwa washwa na Le Mutus, kwani maisha yake yanawahusu nini? Huo ushauri kwanini usiufuate wewe kama unadhani ndio njia pekee ya maisha. Kutwa moja threads zaidi ya nne mwacheni aishi anavyoweza na nyinyi muishi mnavyoweza.
baba, kwa hiyo huo ushauri umeona kama vile ni wivu? Pole sana mkuu.. Mungu akutangulia kwa yote nohing more to say. This is a tragedy....wewe ni celeb wa nini? Wa ujinga?
Si ulitaka umaarufu subiri basi na hii ndo gharama yake
tatizo lenu nyie mnamfuata le mutuz hamjui anachokifanya hovyo kabisa nyie hata market hamjui ndio maana wengi wenu mnakuwa maskini mpaka makaburi yenu hayajengewi. Yeye anafanya market ya blogu yake wa wapi nyie sometime i hate being called tanzanian
With authority vested in me I declare you great thinker with great sense of humour- yaani kweli wewe unaacha shuguli zako kuja kuchangia thread ya celeb wa ujinga? Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Yaani unakimbiza kichaa ukiwa uchi? Ha1 ha! Ha! Ha! Halafu kwenye chuki zako majungu na fitina na habari ya uongo unamleta mungu, mungu yupi unayetaja hapo? Ha1 ha! Yaani great thinker wnapokuw akama watoto wadogo inasikitisha sana, wewe una maadili baala ya kulilia thread ya majungu kama hii haifai unleta maadili juu yake ni simplr childish!!
Biig shoow!!
Biig shoow!!
Tatizo lenu nyie mnamfuata Le mutuz hamjui anachokifanya hovyo kabisa nyie hata market hamjui ndio maana wengi wenu mnakuwa maskini mpaka makaburi yenu hayajengewi. Yeye anafanya market ya blogu yake wa wapi nyie sometime I hate being called tanzanian
William Malecela,
Ndugu yangu, sikia ushauri unaopewa. Wewe ni mtu mzima. miaka 50 siyo kidogo. Tafakari hatima yako, haya mambo ya kuzunguka na wakina Wema, sintah, miss tanzania hayana tija katika harakati zako. Kila mtu anakuona kama vile haujakomaa siyo tu kisiasa bali hata kisaikolojia kiasi cha kupewa uongozi.
Nina imani, Rais Kikwete angeshakupa hata ukuu wa wilaya, lakini ww kila siku hupo kwenye klabu na mademu lukuki. Nakushauri ufunge blog lako, punguzi kujianika kwenye mitandao na pia utafakari mbele. Tabia unazoonyesha kwa sasa hazina toauti na za Mange (mtoto wa dadako). Kwa mtu msomi mweye upeo, nadhani haya yote ungeshayaona. Kumbuka una familia, watoto na mke. Hata kama mmeachana lakini bado ni mama watoto wako. Usijishushie heshima katika jamii
Come on William. Unawezaje kuzunguka na Mange, Sintah na Wema? seriously!
Kiongozi ni kioo cha jamii. Pale vijana wadogo ambao wengi wao ndio wapiga kura watakapokuona wa maana kwa kufanya vitu vya maana badala ya kujiita majin aya ajabu kama mvuta bangi wa kijiweni, mara LeBaharia, LeMutuz, bigshow, etc.. watakupigia kura, zaidi ya hayo, nadhani utaendea kuwa msindikizaji.
Mwone vicky Kamata, Catherine magige ambao hata kusoma sijui kama wanajua wako bungeni, wewe ni zaidi yao mara kumi, il akwa mwendendo huu ndugu yangu, safari itakuwa ndefu sana. Ushauri tu. Ila ukweli ni dawa, naomba uimeze utapona. Kumbuka wewe ni mtoto wa kiongozi mambo yenu ni mswano. Ni kiasi cha simu au note, lakini wewe kwao hata hao viongozi utaonekana mtu asiye bebeka.
Watoto wa Mwinyi, Makamba, Nchimbi, Nnauye, Kawawa,Sokoine, ec..wote wanabebwa kwa nini wewe usibebwe? Pengine kwa sababu wewe ni mzito sana na hii inatokana na zigo la wakina Wema na Mange ulilojitwika mwenyewe. Mtoto wa mkulima anasota miaka karibia 15 kufikia hapo ulipo, wewe tu kushuka majuzi toka NY, umeshakutuna na viongozi karibia wote. Kwa nini wasikulazimishie hata ka cheo?
Jibu mwenyewe kwani wanao wanakuwa na wanakusubiria kule Mt. Vernon. Kadhalika wapo katika umri wa kusoma mitandao na kuona picha zako na Vimwana
- Simply childish; kwanza sijwawahi kuzunguka na Mange anywhere wala kupiga picha naye kama unayo iweke hapa, na nitajiuzulu nafasi zote nilizochaguliwa; hao wengine Sintah ni mtangazaji wa redi sasa unasema nini kwamba wasiilizaji wa hiyo redio ni wajinga na hawana maadili ila wewe ndio unayo? I mean Wema Sepetu ni Big Movie Star, unasema nini kwamba wananchi wote wanaoangalia Cinema zake ni wajinga wasio na maadili ila wewe unayo sana?
- Halafu watu wengine kwenye hii thread nilikuwa ninawaheshimu kumbe ni bure kabisaa, lo!! afadhali nimewajua ndio imetoka hiyo hakuna access tena kwangu, mnajijua sana!! ha! ha! ha! ha! LE BIIG SHOOW!! LE BAHARIA!! LE MUTUZ!!
simply childsh!!
Le Mutuz!!