Kwani kuna ubaya gani jamani? Kama anauwezo, ni sawa
Mbona Hillary Clinton ni mke wa Ex President Clinton?
Na Mbona Bush ni mtoto wa ex president Bush? Francois Hollande (french president wa sasa)
Ni mume wa former Parti Socialiste candidate Segolene Royale
Na huyo Segolene Royale ni mkuu wa mkoa sasa hivi
Haya mambo yanatokea sana kwenye siasa.
Ni bora hawa wenye uhusiano wa dada, mkwe, shemeji nk na kila mtu anaonesha uwezo fulani kuliko upande wa pili uhusiano ni wa K. Mnabaki kuwapa tu appointment sijui mkuu wa wilaya, viti maalum na ofisi nyeti serikalini, shame on you!!!
Nape Nnauye simkubali si kwakuwa ni mtoto wa Marehemu Moses Nnauye, ila uvuvuzela wake, suala la kwamba CHADEMA ni kama familia tuwakabidhi nchi kwanza halafu tutawapima kirahisi, kwasaa wanavyoendelea na harakati za mapambano si rahisi kuwapima hata wakiwa wanafamilia wenyewe si tatizo, kwani kwenye hatua za mwanzo hata kama nui kampuni binafsi inapoanza yaweza kuanza na mke na mme, lakini ikukua inaalika wanahisa wengine. Hii dhambi naweza kuiona ndani ya CCM tu ambao wako madarakani toka 1962, je hamjaweza kuwa na mifumo imara ya kuarika wengine nje ya famila za kina Malecela? hivi mtuy kama Kilango ana uwezo gani kuliko wan wa Same wengine kama si jina la Mzee Malecela?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.