Sasa ameshakuja na amekuomba msamaha; utafanyaje? Usipomsamehe, italeta tofauti gani, kama kukuibia keshakuibia!
Haka kwenda kuomba msamaha wa aina hii inataka mtu awe na roho ya kijasiri sana.
Haka kwenda kuomba msamaha wa aina hii inataka mtu awe na roho ya kijasiri sana.
Kuna mawili, labda kweli anajuta na anataka kufanya the right thing BTW nilishawahi kuambiwa kuwa kwa waislamu, ukiiba mke wa mtu, ili usamehewe na allah; lazima ukatubu kwa mumewe uende na panga kabisa, na huyo mume anaruhusiwa kulitumia hilo panga kukuua. So huenda umetubu from your heart, AU
Ni kiburi au dharau just kukuonesha kuwa s/he can do anything na huwezi mfanya chochote; hii inahitaji GUTS zaidi.
Kati ya mawili yote inawezekana
Lakini kwa nini mtu afanye hilo la pili??
Keshamwibia mmewe, bado amuoneshee nini? Ni wehu tu kama wehu wa kuokota makopo
In your relationship or marriage life and it happened someone came to you and say Im very so sorry I had affairs with your spouse".
Will you,,...?