kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Abunuwasi kwa taarifa yako, huyo dhaifu anawajua wauza unga, majina anayo likiwemo la mwanae, ndio maana kakaa kimya hataki kuwashughulikia.
Dr Slaa ni kati ya watu ambao hasemi kitu bila kukifanyia utafiti, najua kama kweli kasema haya ushahidi anao, mpelekeni mahakamani muone mtakavyoumbuka.
Ikulu sasa imekuwa pango la wahuni na wauza madawa ya kulevya, hakuna heshima tena, shame on you Abunuwasi and your father Mr/dr Dhaifu.
Dr Slaa ni kati ya watu ambao hasemi kitu bila kukifanyia utafiti, najua kama kweli kasema haya ushahidi anao, mpelekeni mahakamani muone mtakavyoumbuka.
Ikulu sasa imekuwa pango la wahuni na wauza madawa ya kulevya, hakuna heshima tena, shame on you Abunuwasi and your father Mr/dr Dhaifu.