Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,989
- 2,954
Netembea karibia Tanzania yote, hakuna sehemu kuna baridi kama Makete, narudia hakuna, kule sio kabisa
Upo sahihi kabisa binti. Sasa hivi huku kama leo imefuka centigrade 4.
Netembea karibia Tanzania yote, hakuna sehemu kuna baridi kama Makete, narudia hakuna, kule sio kabisa
Katesh Kuna barid kaliKwa hanang kuanzia mwez wa 5 mpk wa 11 baridi huwa kali mchana kwa usiku
Kilamanjaro kama huu mwezi ni balaa balaaKilimanjaro yote ila ni Mei, June, Julai ndio balaa.
Desemba joto kama Dar tu.
Baridi na upepo ni sawa eee?Na upepo mkali!!! Vumbi had kwenye kope usipokaa vizuri utailamba
Hanang kateshi nako Ni hataree msimu wakeKuna
Same kilimanjaro
Hanang manyara
Iringa?Mikoa inayoongoza kwa baridi
-Arusha
-Mbeya
-Iringa
Sumbawanga naona haitajwi kabisaWakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.
Makete ni tatizo na nusushuleni wanafunzi wanaruhusuwa kwenda na vigae vya moto,mwalimu anapasha mikono kwenye kigae kabla ya kushika chaki..Sijajua siku hizi kama kuna mabadiliko,nikitambo sana sija gusa mitaa hiyo.
Mapembelo ng'ala
Baridi Kali ipo mafinga na makambako ni upepo na kwa asilimia kubwa umepunguaHakuna baridi kali kama Mafinga, upepo ndio upo wa kutosha Makambako
Huja fika makete na njombeHakuna Baridi tanzania hii zaidi Ya Rongai,Mafinga,Mufindi na Makambako.usiombe ukaenda huko mwezi May to August..Nakwambia hata kuongea na mtu hutoweza kwa sababu ukifungua mdomo tu..ni utumbo unajisokota.
Kuna hiyo Sehem Inaitwa Bashnet ipo Manyara ni BalaaWakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.
Kwetu pazuriLUSHOTO jamani jamani
Kumbe ndio kwenu rafiki wee ni hatari baridi yakeKwetu pazuri