May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,821
Yaa, ndio hata nilivyosema hapo.Usiku Arusha kuna wakati inasoma 12 japo ni mara chache
Kuna muda sema sio kwa siku nzima, huwa inatokea hata mchana sio usiku tu.
Kuna muda baridi inachachamaa mpaka Mtu unatambua kabisa hii ni chini ya nyuzi 20.