Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,318
- 10,022
Ndugu zangu habari.
Naleta kwenu mada hii kufuatia takwimu mbalimbali zinazoonyesha kumekuwa na ongezeko kubwa Sana la watu Kanda ya ziwa hususani Mikoa ya Tabora, Mwanza, Geita, Shinyanga na Simiyu.
Kutokana na ongezeko hili kubwa imekuwa ni changamoto Kwa serikali kupeleka huduma za kutosha maeneo haya.
Mathalani mahitaji ya taasisi za elim kanda ya ziwa ni makubwa kwan hata uwepo wa shule moja moja ya sekondari katika Kata haikidhi.
Kwa takwimu za karibuni inaonyesha Halmashaur ya Wilaya ha Geita pekee ina upungufu wa zaidi ya walimu elfu 6 wa shule za msingi.
Ni dhahiri kwamba ongezeko kubwa la watu Kanda ya ziwa haliendani na uwezo qa serikali kihuduma za jamii.
Je ni nini serikali ifanye kudhibit ongezeko hili?
Naleta kwenu mada hii kufuatia takwimu mbalimbali zinazoonyesha kumekuwa na ongezeko kubwa Sana la watu Kanda ya ziwa hususani Mikoa ya Tabora, Mwanza, Geita, Shinyanga na Simiyu.
Kutokana na ongezeko hili kubwa imekuwa ni changamoto Kwa serikali kupeleka huduma za kutosha maeneo haya.
Mathalani mahitaji ya taasisi za elim kanda ya ziwa ni makubwa kwan hata uwepo wa shule moja moja ya sekondari katika Kata haikidhi.
Kwa takwimu za karibuni inaonyesha Halmashaur ya Wilaya ha Geita pekee ina upungufu wa zaidi ya walimu elfu 6 wa shule za msingi.
Ni dhahiri kwamba ongezeko kubwa la watu Kanda ya ziwa haliendani na uwezo qa serikali kihuduma za jamii.
Je ni nini serikali ifanye kudhibit ongezeko hili?