dk hoseah adaiwa kufichua siri za jk monday, 20 december 2010 23:53 0diggsdigg
waandishi wetu
mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru), dk edward hoseah, anadaiwa kufichua siri za rais jakaya kikwete kwamba kiongozi huyo wa nchi asingependa vigogo serikalini kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa.
dk hoseah
kadhalika, mkuu huyo wa takukuru anadaiwa kushindwa kuwafikisha mahakamani vigogo waliohusika na kashfa ya rada kwa sababu anahofia usalama wake, gazeti la the guardian la uingereza liliripoti juzi.
Mbali na hofu hiyo, gazeti hilo pia lilieleza juzi kuwa dk hoseah alipewa maelekezo maalumu na rais kikwete kutoshughulikia kesi za rushwa zinazowahusu vigogo katika serikali yake na hasa marais waliomtangulia. the guardian lilitoa taarifa hiyo likiunukuu mtandao wa habari wa wikileaks uliojizolea umaarufu duniani kwa kutoa habari za kiuchunguzi hasa baada ya mwasisi wake, julian paul assange, kutiwa matatani.
Kwa mujibu wa habari hiyo, dk hoseah, alisema hayo julai 14 mwaka 2007, alipokuwa akizungumza na mwanadiplomasia wa marekani, purnell delly jijini dar es salaam. Alisema uchunguzi wa kashfa ya rada ni hatari kwake kwa kuwa vigogo nchini, hawaguswi kwa tuhuma na kwamba "tayari alikuwa ameanza kupata vitisho".
halafu maaskofu wanatuambia kuwa jk ni chaguo la mungu. Mungu yupi? Watanzania tuko ndani ya kaburi.
KAMa KUNA MTU ANA CV YA DK HOSEAH AIPOST HAPA MAANA NAFIKIRI TATIZO NI LUGHA HAPPA INAWEZEKANA DK HAJUI KIMOMBO VIZURI SASA MMAREKANI KAELEWA VINGINE WAKATI DK ALIKUWA ANAELEZA VINGINE
CV PLS TUJUE ALIUNGA UNGA WAPI KUPATA UDAKTARI
Wabongo ni wagumu kuelewa, hivi kweli miaka mitano aliyokaa JK ikulu mumeshindwa kubaini kuwa huyu mkwere hawezi kazi ya urais? Huyu mtu nidhaifu mno kuweza kuchukuwa maamuzi magumu kwa maslahi ya nchi ma watu wake, ni mwepesi kuchukuwa maamuzi ya kuwanufaishi washikaji zake ambao ni mwiba kwa watanzania. UFISADI HAUWEZI KUTOKA NCHI HII CHINI YA UTAWALA WA CCM NA JK WAKE. OLE WAO VIONGOZI WA DINI WALIOSEMA JK NI CHAGUO LA MUNGU, HAWA NDIYO WATAKUWA KUNI ZA KUWACHOMEA WENGINE.
Hosea anacheza both sides of the fences tu, yeye mwenyewe fisadi papa.
Hapa alikuwa anajihakikishia tu kwamba siku moja mambo yakibumbuluka anakwenda Marekani na kupewa Green Card, na wamarekani kuna kitu wamepata ambacho hatukioni katika hizi cables. Kwa sababu siamini kwamba wamarekani na intelligence yao hawajui uchafu wa Hosea, sasa walivyomuandika kama crusader hapo obviously kuna deal linaendelea kati yao na Hosea. Wamarekani wako so cynical kwa kawaida, ningetegemea hata neno moja la kumtilia shaka Hosea, lakini wamemuandika kama mzalendo anayepigana dhidi ya rushwa bila ushirikiano wa rais, Hosea anawapa Wamarekani kitu gani ?
Tunajua yote aliyosema Hosea most probably ni kweli, lakini kuna mengine hawajaweka wazi hapa. Something is missing, Hosea anawapa nini Wamarekani ?
How do add a new topic in the list? i can not see the options of adding new topic just , i see new post today posts and other
- Wewe ungekua mkuu wa kazi wa Hosea ungemfukuza kazi kusema hayo maneno empty? I mean kipi kipya hapo ambacho wananchi wa hili taifa hatukujui na ni neno gani hapo la maana sana linaweza kumfungisha kiongozi yoyote wa taifa letu kwenye sheria hata za huko majuu?
- I mean tizama Wikileaks za huko majuu hasa US, jina kwa kitendo Mfalme wa Saudia anaitaka US iitundike mabomu Iran boom kwenye sheria hapo anaondoka mtu, kwanza hata nina wasi wasi sana na hii Wikileaks iliyoitaja bongo na kina Hosea kama ni for real, naiona kama imefinyangwa na mafisadi kutuzuga wananchi, Wikileaks za kweli huwa ni clear hazina maneno ya ujanja ujanja kama hiii yetu, it is simply fake sio ya Assange mzee wa datas original!
William.
How do add a new topic in the list? i can not see the options of adding new topic just , i see new post today posts and other
Aliamini anatoa hayo maneno kwenye secure channel , hakujua kama yanaweza ku leak . Kifupi hawezi kusema wazi wazi zaidi ya kuagiza watendaji wake watoe waraka wa kusafisha watuhumiwa wa rushwa sawasawa na matakwa ya wala rushwa ;Je, Kikwete alisema au kufanya nini mpaka Hosea ahitimishe kwamba anaonekana hayuko comfortable kuacha sheria ifuate mkondo wake dhidi ya mafisadi? Je, Hosea atakuwa tayari kutwaambia umma wa Watanzania kilichojiri mpaka akahitimisha hivyo?
Hosea kama uliweza kumwambia ofisa wa ubalozi wa Marekani basi Watanzania tutafurahia sana na kukupongeza ukakiweka bayana hicho ulichomwambia huyo ofisa wa ubalozi na tunakuomba usipate kigugumizi.
Huyu atakua jk mwenyewe ama Ridhi kwa jinsi alivyoandika tu unaweza kuona,ni jambo zuri kuona na wewe mheshimiwa unashiriki mijadala huru kama hii,pongezi sana.Kikwete si mjinga. Ameona yaliyomkuta mareheumu Umar Yaradua wa Nigeria. Alipambana na mafisadi wakubwa lakini sasa hivi yuko wapi. (RIP)
Pia kumbuka pale Pengo alipoenda kumzika kadinali mwenzie wa kanda ya Ziwa alichosema; mbele ya mkapa alisema, hao wanaodai wanapinga ufisadi ni kwamba tu na wao hawakupata nafasi , kwani nao wangeiba, sasa unatarajia nini hapo?
Kikwete alipojaribu kuwapeleka tu mahakamani akina liyumba, mramba, yona na mgonja watu (hata humu JF) walisema Kikwete anawahujumu wakristo, mara imekuaje kuwapeleka watu wa mkoa mmoja mahakamani na mengineyo mengi. Sasa nyinyi (wajinga) mnalalmika nini. kwakweli natumia neno hilo ili liwauzi kwani mnakera.
Sasa leo jiulize hivi leo Kikwete akijaribu kurukusu uchunguzi wa mkapa na watu wa jamii yake na hatimaye kumpeleka mahakamani unatarajia nini? Jk kaa kimya waache warap. mwisho watachoka.
Si kwamba JK hajui kuna;
kiwira
rada
ndege ya ya rais
ndege za jeshi
nyumba za serikali kuuzwa
meremeta
tangold
mwananchi
tanesco
NBC
ATC
BOT
miradi mingi ya madini na 10%
na mengineyo mengi.
Ila tu watu wenyewe ni vigeugeu.
kwa kweli JK nakusapoti mpaka hapo watakapobadilika wenyewe, kwani wao wenyewe ndo vigeugeu wala hawaeleweki kama popo.
Hosea anacheza both sides of the fences tu, yeye mwenyewe fisadi papa.
Hapa alikuwa anajihakikishia tu kwamba siku moja mambo yakibumbuluka anakwenda Marekani na kupewa Green Card, na wamarekani kuna kitu wamepata ambacho hatukioni katika hizi cables. Kwa sababu siamini kwamba wamarekani na intelligence yao hawajui uchafu wa Hosea, sasa walivyomuandika kama crusader hapo obviously kuna deal linaendelea kati yao na Hosea. Wamarekani wako so cynical kwa kawaida, ningetegemea hata neno moja la kumtilia shaka Hosea, lakini wamemuandika kama mzalendo anayepigana dhidi ya rushwa bila ushirikiano wa rais, Hosea anawapa Wamarekani kitu gani ?
Tunajua yote aliyosema Hosea most probably ni kweli, lakini kuna mengine hawajaweka wazi hapa. Something is missing, Hosea anawapa nini Wamarekani ?
Ni lini wazungu wakawa na nia njema kwa waafrika? Nafanya nao kazi nawaelewa. They normally play around things! Nagombana nao kweli na wananichukia kwa kuwa sipendi umbeaumbea. Hasa hasa Waingereza na Wamarekani.
Hii inanifanya nianze kuamini uvumi kuwa Balali shaidi namba moja yupo hai na hajafa unless waje na reason nyingine, maana Balali akipatikana viongozi wetu wote wanaishia mahakamani. kweli tuna genge la mafia ndani ya nchi yetu na watanzania wamelala tu mbumbumbu bila hata kuchukua hatua
hiyo link haifunguki au mod kaharibu?