Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
huyo baba mkwe lazima ana tu element twa uchawi. Ndio maswali gani hayo ya kumuuliza mgeni? Baba mkwe huyo hana adabu kabisa....umeenda ukweni kuchumbia rasmi, baada ya utambulisho na wenyeji kuwapa muda 'mjisikie mpo nyumbani' , Baba mkwe anakutupia swali la papo kwa papo; ..." eti kijana, iwapo tumepata ajali majini, na uwezo wako kumuoka mtu mmoja tu, utamuokoa nani kati yangu, mama mkwe, mkeo au mwanao?"Ingelikuwa weye ungejibu nini?