Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
With due respect!hivi huyu Zitto hata hapa JF ana wapambe au ndio tumesahau jukumu letu la kutetea maslahi ya wadanganyika? maana even a blind can see that he's being pampered.Achilia mbali kina Lipumba hata Prof.Wangwe amekana taarifa yake ya hali ya mazishi ya MP Wangwe.Pamoja na Mzee Mwanakijiji kumpamba kwa matukio ambayo hayawezi kuwa accounted for, ukweli unabaki hakusema ukweli kuhusu kukichojiri Tarime.Na sijui kama huyu anaweza kusimama kama mtetezi wa wadanganyika,he's simply not credible.
mwaga ukweli yaliyotokea tarime mkuu, ukishindwa Zitto alikuwa sahihi. Zitto atabaki kuwa Zitto ambaye kwa sasa ni mmoja wa mashujaa wa Taifa hili, hapambwi hajajipamba, anapambika , lakini pia anachafuliwa na mtu kama wewe ambaye ni kipofu wala huwezi ku-evaluate what Zitto as done so far!
Tuambie wewe unampamba nani? usiseme Nyerere ameshakufa!