Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Wana Chit chart, wiki ijayo Ijumaa natia timu Dar, na nitakaa kwa siku tatu pale viunga vya Msasani, Kidume yeyote yule ambaye angependa atoke na mimi kwa dinner afanye booking mapema (Lakini asiwe ni mume wa mtu, sipendi ngeu mie).
Muhimu ni mshiko maana sina kitu kabisaa na viwanja nitakavyopenda kutoka kusafisha macho ni Kilimanjaro Hyatt Hotel, Double Tree Hotel, Sea Cliff Hotel na Kunduchi Beach Hotel, gharama zitafidiwa kwa makubaliano maalum.
Wadada tukutane J2, pale viunga vya Mango Garden Kinondoni.
Sitaki PM, mwageni sera zenu hadharani.
Muhimu ni mshiko maana sina kitu kabisaa na viwanja nitakavyopenda kutoka kusafisha macho ni Kilimanjaro Hyatt Hotel, Double Tree Hotel, Sea Cliff Hotel na Kunduchi Beach Hotel, gharama zitafidiwa kwa makubaliano maalum.
Wadada tukutane J2, pale viunga vya Mango Garden Kinondoni.
Sitaki PM, mwageni sera zenu hadharani.