Nilichoona hapa umetuhalalishia michepuko ila tuwachague michepuko classic kuliko wake zetu
haya ahsante
Kwa asili mwanamke huwa hasamehi hadi na yeye afanye kama ulivyofanya....lakini pia yapasa uwaze nje ya box,je ni kwel alimsifia huyo mwanamke kuwa ni mrembo kwel,au ni ile habar ya wakat wanasoma huyo mke wako alikuwa na mienendo mibaya au alipata scandal mbaya kwa hiyo akaona kama wakiendelea kukaa pamoja huyo mchepuko wako angemkumbuka huyo mkeo na pengine siri ingefichuka??!fikiria nje ya box,usiuamini hata kidgo msamaha wa mkeo