The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Jamani kuna habari kuwa kuna baadhi waajiri siku hizi wameweka msimamo kuwa eti wakati wanatangaza ajira,wanawatenga wasomi wetu wa chuo tukipendacho cha Dodoma!kama habari hii ni kweli,mnataka vijana wetu waende wapi?