Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
I would have liked to insult you, but the sad truth is that you wouldn't understand me.
weee vipi kwani mwanaume ndio ana enda ku-abort sii demu. alafu kwanza woman ndio yupo responsible 100% katika kutunga kwa mimba au lah...demu kama hataki mimba ndugu yangu mwanaume atakuwa anatwanga maji kwenye kinu literally