Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Leo nilikwenda Sanya Juu, Wilaya ya Siha, Jimbo la Siha, kule kwa Mh. Agrey Mwandri, Naibu Waziri TAMISEMI na Mbunge wa Siha. Kwa kweli sikuamini nilichokiona hadi wenzangu kwenye gari waliponithinitishia.
Wakati tumefika Sanya Juu, maeneo ya sokoni (mjini) nikamsikia Mbunge, Waziri Mwandri akihutubia mkutano wa hadhara. Mwanzo nilidhani ni hotuba yake imerekodiwa maana niliona pick-up ikiwa ina maspika makubwa na watu wapatao hamisini hivi wamesimama wakisikiliza hotuba ya Mwandri. Nilisema ni hotuba iliyorekodiwa, lakini abiria nliokuwa nao wakaniambia ni Mbunge/ naibu Waziri Mwandri anahutubia; nlibisha lakini wakanionyesha mtu amesimama akiwa na suti ya light bluu akiongea akiwa amesimama chini mble ya nyumba kubwa na kibarazani mwa nyumba hiyo watu wachache mno (hawazidi 50) wamesimama wakimsikiliza kwa makini.
Watu wengine walikuwa wakiendelea na shughuli zao kama kawaida maeneo hayo na hawakuona kama kuna haja ya kunsikiliza waziri Mwandri. Hii ilinipa kujiuliza maswali kwa nini watu ni wachache hivyo na, mbona kama vile wapiga kura wake wamemtelekeza?
Tafakari yangu ilinipeleka kwenye jibu kuwa, ndio maana Serikali ya JK na CCM wametaharuki na kuanza kuhisi kuwa CHADEMA wanataka kuwaondoa madarakani maana wananchi wengi wamekata tamaa na CCM na Serikali yake na CCM na Serikali vimepoteza mvuto kwa umma.
Wakati tumefika Sanya Juu, maeneo ya sokoni (mjini) nikamsikia Mbunge, Waziri Mwandri akihutubia mkutano wa hadhara. Mwanzo nilidhani ni hotuba yake imerekodiwa maana niliona pick-up ikiwa ina maspika makubwa na watu wapatao hamisini hivi wamesimama wakisikiliza hotuba ya Mwandri. Nilisema ni hotuba iliyorekodiwa, lakini abiria nliokuwa nao wakaniambia ni Mbunge/ naibu Waziri Mwandri anahutubia; nlibisha lakini wakanionyesha mtu amesimama akiwa na suti ya light bluu akiongea akiwa amesimama chini mble ya nyumba kubwa na kibarazani mwa nyumba hiyo watu wachache mno (hawazidi 50) wamesimama wakimsikiliza kwa makini.
Watu wengine walikuwa wakiendelea na shughuli zao kama kawaida maeneo hayo na hawakuona kama kuna haja ya kunsikiliza waziri Mwandri. Hii ilinipa kujiuliza maswali kwa nini watu ni wachache hivyo na, mbona kama vile wapiga kura wake wamemtelekeza?
Tafakari yangu ilinipeleka kwenye jibu kuwa, ndio maana Serikali ya JK na CCM wametaharuki na kuanza kuhisi kuwa CHADEMA wanataka kuwaondoa madarakani maana wananchi wengi wamekata tamaa na CCM na Serikali yake na CCM na Serikali vimepoteza mvuto kwa umma.