Why is CCM afraid of CHADEMA movement? Mwanri akosa watu kwao!

Ibrah

JF-Expert Member
Mar 22, 2007
2,729
528
Leo nilikwenda Sanya Juu, Wilaya ya Siha, Jimbo la Siha, kule kwa Mh. Agrey Mwandri, Naibu Waziri TAMISEMI na Mbunge wa Siha. Kwa kweli sikuamini nilichokiona hadi wenzangu kwenye gari waliponithinitishia.

Wakati tumefika Sanya Juu, maeneo ya sokoni (mjini) nikamsikia Mbunge, Waziri Mwandri akihutubia mkutano wa hadhara. Mwanzo nilidhani ni hotuba yake imerekodiwa maana niliona pick-up ikiwa ina maspika makubwa na watu wapatao hamisini hivi wamesimama wakisikiliza hotuba ya Mwandri. Nilisema ni hotuba iliyorekodiwa, lakini abiria nliokuwa nao wakaniambia ni Mbunge/ naibu Waziri Mwandri anahutubia; nlibisha lakini wakanionyesha mtu amesimama akiwa na suti ya light bluu akiongea akiwa amesimama chini mble ya nyumba kubwa na kibarazani mwa nyumba hiyo watu wachache mno (hawazidi 50) wamesimama wakimsikiliza kwa makini.

Watu wengine walikuwa wakiendelea na shughuli zao kama kawaida maeneo hayo na hawakuona kama kuna haja ya kunsikiliza waziri Mwandri. Hii ilinipa kujiuliza maswali kwa nini watu ni wachache hivyo na, mbona kama vile wapiga kura wake wamemtelekeza?

Tafakari yangu ilinipeleka kwenye jibu kuwa, ndio maana Serikali ya JK na CCM wametaharuki na kuanza kuhisi kuwa CHADEMA wanataka kuwaondoa madarakani maana wananchi wengi wamekata tamaa na CCM na Serikali yake na CCM na Serikali vimepoteza mvuto kwa umma.
 
Leo nilikwenda Sanya Juu, Wilaya ya Siha, Jimbo la Siha, kule kwa Mh. Agrey Mwandri, Naibu Waziri TAMISEMI na Mbunge wa Siha. Kwa kweli sikuamini nilichokiona hadi wenzangu kwenye gari waliponithinitishia.

Wakati tumefika Sanya Juu, maeneo ya sokoni (mjini) nikamsikia Mbunge, Waziri Mwandri akihutubia mkutano wa hadhara. Mwanzo nilidhani ni hotuba yake imerekodiwa maana niliona pick-up ikiwa ina maspika makubwa na watu wapatao hamisini hivi wamesimama wakisikiliza hotuba ya Mwandri. Nilisema ni hotuba iliyorekodiwa, lakini abiria nliokuwa nao wakaniambia ni Mbunge/ naibu Waziri Mwandri anahutubia; nlibisha lakini wakanionyesha mtu amesimama akiwa na suti ya light bluu akiongea akiwa amesimama chini mble ya nyumba kubwa na kibarazani mwa nyumba hiyo watu wachache mno (hawazidi 50) wamesimama wakimsikiliza kwa makini.

Watu wengine walikuwa wakiendelea na shughuli zao kama kawaida maeneo hayo na hawakuona kama kuna haja ya kunsikiliza waziri Mwandri. Hii ilinipa kujiuliza maswali kwa nini watu ni wachache hivyo na, mbona kama vile wapiga kura wake wamemtelekeza?

Tafakari yangu ilinipeleka kwenye jibu kuwa, ndio maana Serikali ya JK na CCM wametaharuki na kuanza kuhisi kuwa CHADEMA wanataka kuwaondoa madarakani maana wananchi wengi wamekata tamaa na CCM na Serikali yake na CCM na Serikali vimepoteza mvuto kwa umma.

Ukiona hivyo ujue hata shinda yake ubunge ilikuwa na mashaka makubwa. Wananchi wa sasa hawaganganyiki!!
 
ndio maana ccm wanapinga maandamano ya chadema kwa kuwa wao hawana uwezo wa kukusanya watu kwa sasa
 
Angetangaza agenda ya babu wa Loliondo ikawamo angejaza watu. People are sick and tired of being sick and tired
 
Mkuu hilo si kwa viongozi wa CCM na wabunge wake,
Kama viongozi wa ccm wangekuwa na hoja za kuwaeleza wananchi wangefanya mikutano ndo maana sasa wameishia kwenye vyombo vya habari kueneza propaganda.Je wangapi wanayasoma magazeti huko vijijini kuliko na wakazi wengi walalaoi,.?
 
Back
Top Bottom