Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
The man doesn't even know why Tanzania is poor do you really expect him to give you a plausible answer on this.
ya mfalme wa ufaransa enzi hizo siku wananchi wataandamana hadi ikulu, JK hatauliza, wana tatizo gani hawa? msaidizi wake atamwambia wana njaa hawana mkate, Kikwete atatupa mikono kwa mshangao na kumwambia msaidizi wake "kwanini wasile keki basi"
Huyu mjamaa si ajabu seriously hajui shida zetu since yuko mawinguni.