why do elimu of Tanzania so bad?

johny blaizy

Member
Nov 11, 2011
7
0
in tanzania unaweza ukaona people dea lenning from grade 1 to grade seven and from dea iz unaanza new lyf from form 1 to six and lets say umepoteza lets say miaka kumi na nne unasoma but ukiulizwa wat have u gain from wat u were be told at class its nothing gained at al n ndo mana uwezi kucompair mzungu wth africann`s hasa Tanzanian people we are in local stage n inabidi mtu awe anaelewa wats anacho somea lyk whites people usa, uk, any othr places.
 
Sijui nicheke au nilie, kwani ulivyoandika kweli, kunaonyesha ni jinsi gani elimu ya Tanzania ilivyo mbovu.
Acha kasumba ndugu yangu kuhusu elimu katika hizo nchi ulizozitaja. Huko watoto wanabebwa sana, hamna kitu kinaitwa ku'fail, hamna mambo ya kurudia darasa... Ukifika vyuoni, watu kutoka nchi zingine wanawapiga bao ile mbaya na hauwezi ku'compare uelewa jinsi hiyo.
ndio elimu yetu ina kasoro nyingi tu, lakini hayo mapengo yakizibwa, nadhani tutafika mbali.
 
in tanzania unaweza ukaona people dea lenning from grade 1 to grade seven and from dea iz unaanza new lyf from form 1 to six and lets say umepoteza lets say miaka kumi na nne unasoma but ukiulizwa wat have u gain from wat u were be told at class its nothing gained at al n ndo mana uwezi kucompair mzungu wth africann`s hasa Tanzanian people we are in local stage n inabidi mtu awe anaelewa wats anacho somea lyk whites people usa, uk, any othr places.

habari yako ndugu John na sante kwa uzi huu. Inawezekana kabisa uliyoyandika ni sahihi.

Ili tuendelee na mjadala ingekuwa vizuri kama ungeanza kwa kutujuza elimu yako umeipatia wapi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom