Zakumi,Swari:
Hivi bila kuwepo kwa mafuta kule, Biafra wangefikiria kujitenga? Hivi bila kuwepo kwa madini kwenye jimbo la Shaba, je vita vingetokea Congo?
Uamuzi wa Biafra kujitenga haukuhusiana kabisa na uwepo wa mafuta kule. It was a matter of survival. Soma tena thread ya Shwari.