Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

Binadamu wa kwanza ni Nabii Adam. Yeye aliumbwa kwa kutumia udongo wa duniani wa ufinyanzi...huu ulikuwa mweupe , mweusi na manjano.
Nabii Adam alipo shushwa duniani na Mama hawa walikua wakizaa watoto tofauti kwa rangi na sura. Hii inatokana na wao kuwa dna zote za binadamu....
Hawa wato walishi pamoja, wakahasimiana na kubaguana kwa rangi zao na maumbo yao....hivyo wakakimbiana kuhamia sehemu mbali mbali duniani....
Lakini suala gumu zaidi ni lugha ilikuaje waongee lugha nyingi hivi ? Lugha zaidi ya laki zinaongewa duniani.
Hapa inawezekana adan na hawa hawakua na lugha...hivyo walijifunza kuongea na duniani.....lakini Adam alifunzwa kufahamu kila kitu duniani na kuvijua majina ila kwa lugha gani .haiko wazi....
Hivyo mazingira ya walipo ishi na wenyewe wakatengeneza lugha zao
Wapo walokuja afrika weusi, walokwenda ulaya weudi, walokwenda far east manjano, nk nk
Pia huu ulimwengu wapo majini.....hawa majini ni werevu zaidi na wao ni viumbe.
Majini hupenda kufanya mapenzi na binadamu......inasemekana hawa wazungu waliathirika zaidi na genes za majini ..ni watoto chotara wa binadamu na majini nfo maana unawaona akili zao..zina chagi zaidi , hawaogopi ni majabari kweli..... Wababe...hio damu ya jini...macho yao blue, nywele wengine nyeupe....dna za kijini jini......
 
SWADAKTA NIMEFURAHI KUSIKIA HII ELIMU YAKO. LAKUSISITIZA NI KWAMBA HIVI VITABU VIMETUMIKA KUCORRUPT MIND ZETU. KWANI ZILITUMIKA KUTUONDOSHA KWENYE MFUMO WETU WAKIROHO.
BINADAMU TUMEUMBWA NA MAMA ZETU TUKIWA HURU NA AINA YEYOTE YA UCHAFU. VITABU VYOTE VIMEANDIKWA NA WATU NA TUMEVIKUTA BAADA YA KUZALIWA. NI KITU GANI KINATUFANYA TUZIBEBE WAKATI TUMEZIKUTA HAPA NA HATUKUZALIWANANVYO? HUU SIO WAKATI WA KUHANGAIKA NA NADHARIA DHAIFU KWA KUWAJAZA WATU MASWALI AMBAYO HATA WAO HAWAWEZI KUYAJIBU.

TUNAHITAJI KUULIZA KILA KITU NA TUFAHAMU. MAANA KUFAHAMU NI BORA KULIKO KUAMINI. NATURE INATUAMBIA NINI?

AFRIKA NDIO ARDHI PEKEE DUNIANI ILIOJUU KIMAUMBILE NA ARDHI YENYE UTAJIRI KULIKO ARDHI YEYOTE. IT TAKES THE ABORIGINAL TO PICK WHAT IT IS ORIGINAL.

WOTE WANAISHI KUTEGEMEA AFRIKA KUTOKA DAY ONE NA OBORIGINAL BLACKS NDIO WAMILIKI WA MAMBO YOTE. ALL OF THEM THEY HAVE STOLEN OUR IDENTITY KWA DAMU BAADA YA KUTUINGIZIA FEAR NDIO UZUSHI WA VITABU VYAO TUKAVIKUMBATIA.
Huwa ninapata shaka sana kumkuta mtu alielimika amekumbatia Quran au Bible akitegemea imkomboe Kwanini tusijiunge na kuanza harakati ya kusimamia nature inasemaje sio tena mambo ya kuamini hapana yani tusimamie kwenye uhalisia na kuelemisha jamii
 
Binadamu wa kwanza ni Nabii Adam. Yeye aliumbwa kwa kutumia udongo wa duniani wa ufinyanzi...huu ulikuwa mweupe , mweusi na manjano.
Nabii Adam alipo shushwa duniani na Mama hawa walikua wakizaa watoto tofauti kwa rangi na sura. Hii inatokana na wao kuwa dna zote za binadamu....
Hawa wato walishi pamoja, wakahasimiana na kubaguana kwa rangi zao na maumbo yao....hivyo wakakimbiana kuhamia sehemu mbali mbali duniani....
Lakini suala gumu zaidi ni lugha ilikuaje waongee lugha nyingi hivi ? Lugha zaidi ya laki zinaongewa duniani.
Hapa inawezekana adan na hawa hawakua na lugha...hivyo walijifunza kuongea na duniani.....lakini Adam alifunzwa kufahamu kila kitu duniani na kuvijua majina ila kwa lugha gani .haiko wazi....
Hivyo mazingira ya walipo ishi na wenyewe wakatengeneza lugha zao
Wapo walokuja afrika weusi, walokwenda ulaya weudi, walokwenda far east manjano, nk nk
Pia huu ulimwengu wapo majini.....hawa majini ni werevu zaidi na wao ni viumbe.
Majini hupenda kufanya mapenzi na binadamu......inasemekana hawa wazungu waliathirika zaidi na genes za majini ..ni watoto chotara wa binadamu na majini nfo maana unawaona akili zao..zina chagi zaidi , hawaogopi ni majabari kweli..... Wababe...hio damu ya jini...macho yao blue, nywele wengine nyeupe....dna za kijini jini......
Mkuu kuna uthibitisho wowote kwa haya usemayo??
 
Hakuna kilichokosewa hakuna kilichopungua ni style tu ya uumbaji, kumbuka kuna watu wa njano pia...uumbaji una variety nyingi sana kutegemeana na hali ya hewa ya mahali husika, kila kitu kiko kwenye mahesabu yaliyokusudiwa na kutosheleza.

Kumbuka hii si kwa binadamu bali hata wanyama na vitu vingine vyote kama chakula nyumba nguo nk nk
Mshana ukishaweka uumbaji , kila kitu kinawezekana! Na hapo hakuna kuhoji maana Mungu hahojiwwi ," anapenda na inakuwa" Ila ukiweka science, you need to put a plausible explanation. Is it possible kujichubua mzungu akawa mweusi?
 
Unawezaje kujua ya kwamba mtu ni mental case...?!
Mtu Leo anayekataa Kuwa binadamu hakufika mwezini ni mental case.....

I hope he doesn't come trying to prove anything to me about the moon landing. nishafuatilia debates za binadamu kwenda mwezini na nishakata shauri.

jamaa anapenda kweli conspiracy stories...plus he has cherry picked what he read. he read what he wants to hear. wrong info from the wrong sources. he shouldn't be talking about evolution.

Mkuu wa chuo
 
Mtu Leo anayekataa Kuwa binadamu hakufika mwezini ni mental case.....jamaa anapenda kweli conspiracy stories...

I hope he doesn't come trying to prove anything to me about the moon landing. nishafuatilia debates za binadamu kwenda mwezini na nishakata shauri.
Nimemfuatilia jamaa nilimuelewa sana mfano kule kwenye HIV/AIDS kwenye bangi pia, kwenye kansa maelezo yake...

Labda ungemuuliza ana uhakika gani kwamba hakuna mtu aliyewahi kufika mwezini
 
Binaadam weusi, weupe wa kati na kati (Si weusi si weupe) wote tumeumbwa kutokana na kiumbe mmoja tu (Adam).

Adam aliumbwa kwa udongo wa aina mbali mbali (wa rangi nyeusi, rangi nyeupe, udongo mgumu, udongo mlaini, yaani aina zote za udongo alizoumba Mungu katika Ardhi zilitumika kama mchanganyiko) uliokusanywa na Mwenyezi Mungu (Subhahu Wataala), kumuumba kiumbe chake kitukufu, baba yetu Adam.

Ndio maana sisi (Binaadam) watoto wa Adam tumeotokea na kuwa na rangi mbali mbali na hulka na tabia mbali mbali. Kuna binaadam weupe, weusi, wagumu, walaini, wapole, wabishi n.k
 
Okay, mbona huwa unakuwa mkali mtu akikosoa evolution...?!

Mkuu,huyu jamaa ukimuuliza kwa nini anapinga hataweza kukujibu zaidi ya kukuletea siasa na blaa blaa nyingine.Akili na utamaduni kama wake ndivyo vitu alivyovitumia mzungu kukusanya points za ushindi dhidi ya mtu mweusi katika masula mbalimbali muhimu.

Jamaa ni dhaifu kiuelewa,yeye anaona kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu na kipo kwenye mitaala na amefundishwa hivyo darasani ni cha kweli,yeye anaamini tu,hana akili ya kuhoji.Hajui hata historia ya waandishi/watungaji wa vitabu au 'theories' anazoziamini na kwanini theories hizo(ambazo si za kweli) zimetungwa na zinafundishwa madarasani.Yeye anachojua ni kusoma na kubeba kama zilivyo eti kwa kuwa mzungu ndiye aliyeandika.

Sasa angalia.umemuuliza kuhusu suala la mtu kwenda mwezini,yeye kakuletea siasa,ndio maana nikasema huyu jamaa ni dhaifu kiuelewa.Kama atakujibu swali ulilomuuliza naomba uniite,hapa ndipo utajionea wewe mwenyewe nani ni mental case kati ya mimi na yeye.

mimi huwa sizungumzi maneno matupu au siasa kama yeye,huwa natoa facts,sasa akikujibu niite ujionee mwenyewe.
 
Mkuu,huyu jamaa ukimuuliza kwa nini anapinga hataweza kukujibu zaidi ya kukuletea siasa na blaa blaa nyingine.Akili na utamaduni kama wake ndivyo vitu alivyovitumia mzungu kukusanya points za ushindi dhidi ya mtu mweusi katika masula mbalimbali muhimu.

Jamaa ni dhaifu kiuelewa,yeye anaona kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu na kipo kwenye mitaala na amefundishwa hivyo darasani ni cha kweli,yeye anaamini tu,hana akili ya kuhoji.Hajui hata historia ya waandishi/watungaji wa vitabu au 'theories' anazoziamini na kwanini theories hizo(ambazo si za kweli) zimetungwa na zinafundishwa madarasani.Yeye anachojua ni kusoma na kubeba kama zilivyo eti kwa kuwa mzungu ndiye aliyeandika.

Sasa angalia.umemuuliza kuhusu suala la mtu kwenda mwezini,yeye kakuletea siasa,ndio maana nikasema huyu jamaa ni dhaifu kiuelewa.Kama atakujibu swali ulilomuuliza naomba uniite,hapa ndipo utajionea wewe mwenyewe nani ni mental case kati ya mimi na yeye.

mimi huwa sizungumzi maneno matupu au siasa kama yeye,huwa natoa facts,sasa akikujibu niite ujionee mwenyewe.
LIGI imeanza.......
 
.a
Mkuu,huyu jamaa ukimuuliza kwa nini anapinga hataweza kukujibu zaidi ya kukuletea siasa na blaa blaa nyingine.Akili na utamaduni kama wake ndivyo vitu alivyovitumia mzungu kukusanya points za ushindi dhidi ya mtu mweusi katika masula mbalimbali muhimu.

Jamaa ni dhaifu kiuelewa,yeye anaona kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu na kipo kwenye mitaala na amefundishwa hivyo darasani ni cha kweli,yeye anaamini tu,hana akili ya kuhoji.Hajui hata historia ya waandishi/watungaji wa vitabu au 'theories' anazoziamini na kwanini theories hizo(ambazo si za kweli) zimetungwa na zinafundishwa madarasani.Yeye anachojua ni kusoma na kubeba kama zilivyo eti kwa kuwa mzungu ndiye aliyeandika.

Sasa angalia.umemuuliza kuhusu suala la mtu kwenda mwezini,yeye kakuletea siasa,ndio maana nikasema huyu jamaa ni dhaifu kiuelewa.Kama atakujibu swali ulilomuuliza naomba uniite,hapa ndipo utajionea wewe mwenyewe nani ni mental case kati ya mimi na yeye.

mimi huwa sizungumzi maneno matupu au siasa kama yeye,huwa natoa facts,sasa akikujibu niite ujionee mwenyewe.
Huwa nakuelewa sana mkuu....Mungu akuzidishie hekima na maarifa mkuu
 
Mkuu,huyu jamaa ukimuuliza kwa nini anapinga hataweza kukujibu zaidi ya kukuletea siasa na blaa blaa nyingine.Akili na utamaduni kama wake ndivyo vitu alivyovitumia mzungu kukusanya points za ushindi dhidi ya mtu mweusi katika masula mbalimbali muhimu.

Jamaa ni dhaifu kiuelewa,yeye anaona kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu na kipo kwenye mitaala na amefundishwa hivyo darasani ni cha kweli,yeye anaamini tu,hana akili ya kuhoji.Hajui hata historia ya waandishi/watungaji wa vitabu au 'theories' anazoziamini na kwanini theories hizo(ambazo si za kweli) zimetungwa na zinafundishwa madarasani.Yeye anachojua ni kusoma na kubeba kama zilivyo eti kwa kuwa mzungu ndiye aliyeandika.

Sasa angalia.umemuuliza kuhusu suala la mtu kwenda mwezini,yeye kakuletea siasa,ndio maana nikasema huyu jamaa ni dhaifu kiuelewa.Kama atakujibu swali ulilomuuliza naomba uniite,hapa ndipo utajionea wewe mwenyewe nani ni mental case kati ya mimi na yeye.

mimi huwa sizungumzi maneno matupu au siasa kama yeye,huwa natoa facts,sasa akikujibu niite ujionee mwenyewe.
Kaka mimi ndo nilikuwa nakutafuta,

Kwa kifupi tu. Hongera kwa kuanza na Watanzia ambapo umenigusa na mimi kwa namna moja ama nyingine kuhusu Ukimwi (VVU).

Uzi wako wa kuhusu Ukimwi(VVU) alinionyesha Dada mmoja akanisihi nifuatilie kwa kina. Nami sikufanya ajizi.

Sasa baada ya kufatilia kwa muda murefu nikaelewa na nikafuta kabisa yale masomo potofu na kuifanya akili yangu kuwa huru kutoka katika kile kifungo cha utumwa wa Kisaikolojia.

Mara nikamfuta Dada yule na kumweleza nilichokielewa na kukiamini kuwa ndio ukweli. Bahati nzuri na yeye aliendelea kujisomea uzi huo na nilipo mkuta si haba alikuwa amefika mbali.

Akanisihi tena NIKUULIZE SWALI.
Je? Mtu alieambiwa kuwa ni Mwathirika na akapewa ARV kutumia, Afanye nini au ni nini atumie ili CD4 zake zikae sawa na Mara ya CD4 kuwa sawa ni hatua gani mtu huyo achukue ili aweze kuacha ARV pia?

Asante
 
Huwa ninapata shaka sana kumkuta mtu alielimika amekumbatia Quran au Bible akitegemea imkomboe Kwanini tusijiunge na kuanza harakati ya kusimamia nature inasemaje sio tena mambo ya kuamini hapana yani tusimamie kwenye uhalisia na kuelemisha jamii

Na hapa kaka ndio tunaanza kuwaelemisha humu JF. Kisha mijala inaendelezwa makazini na mitaani hadi wataelewa tu.
Kazi ya kiroho haina mwisho. Pia naomba unielewe ninaposema maisha ya kiroho simaanishi kidini kwani maisha ya kiroho hayana mahusiano kabisa na dini.
 
..........
Akanisihi tena NIKUULIZE SWALI.
Je? Mtu alieambiwa kuwa ni Mwathirika na akapewa ARV kutumia, Afanye nini au ni nini atumie ili CD4 zake zikae sawa na Mara ya CD4 kuwa sawa ni hatua gani mtu huyo achukue ili aweze kuacha ARV pia?

Asante

Mkuu angalia tusije kuharibu dhima ya uzi huu,lakini nitakujibu kwa ufupi tu.Inaonekana hujamaliza kusoma post zangu zilizopita,swali hili nilishalijibu.Ni hivi,....

HIV/AIDS si ugonjwa,si tatizo,si hatari kama wajuavyo wengi.HIV/AIDS ni kasumba tu,hivyo ukiambiwa kwamba umeathirika chukulia kama vile hujaambiwa kitu.Cha msingi,kama unaumwa malaria tibu malaria.kama unaumwa TB tibu TB,kama una kisukari tibu kisukari,kama una cancer tibu cancer nk....hayo ndio magonjwa halisi na yote yana tiba zake,KWISHA!!

Vinginevyo unatakiwa kufuata utaratibu mzuri wa maisha ikiwemo ulaji wa chakula bora na mazoezi.Usithubutu kamwe kutumia ARVs,hili ndilo kosa wanalofanya wengi wakidhani kwamba ARVs ndio mkombozi bila kujua kwamba mwisho wa siku hizihizi ARVs ndizo huwasababishia dalili/magonjwa ambayo ndio yanayowaua(ambayo ndio ukimwi wenyewe) huku wakidhani kwamba HIV ndio chanzo wakati sivyo.

Ukiona mtu anatumia ARVs halafu ana nywele dhaifu/zimenyonyoka au ana vipele kwenye ngozi/anajikuna au amepata kisukari au amepata cancer au ana matatizo ya moyo,figo au ini,au anakuwa na upungufu wa damu/anaemia inabidi ufahamu kwamba matatizo haya yote yanasababishwa na ARVs na si HIV,SAWASAWA?Baadhi ya matatizo haya yameandikwa hata kwenye karatasi iliyowekwa ndani ya kikopo cha dawa za ARVs,soma karatasi ile ya ndani ya kikopo utanielewa ninachozungumza,watu wengi wanaotumia ARVs huwa hawasomi karatasi ile hivyo wengi hawajui wanakula dawa zenye madhara gani.Udhaifu huu wa kutopenda kusoma/kudadisi ndio unaotuua na ndio unaofanya wengi wawe na tabia ya kupinga tu wanapoambiwa mambo kama haya bila kujua hata wanapinga nini.

Kuhusu CD4,ha ha haaaa...ndugu yangu,kuna vitu vingi sana mtaani vinaongeza CD4 ingawa CD4 si ishu ya maana sana.CD4 ni propaganda,soma post zangu utajua tu.Fanya uchunguzi wako utangundua kwamba kuna miti hapo mtaani kwenu au jirani huwa mnaikata/mnaipunguza mkiwa mnafanya usafi,inaitwa milonge.Mbegu za miti hii pia huongeza CD4,nani anapinga?Chunguza mwenyewe utajua tu,kumbe CD4 sio ishu,ha ha haaaaa.Sasa kama ishu ni CD4,halafu mbegu za mlonge zinaongeza CD4 pia,sasa kwanini serikali yetu inaingia gharama kubwa kulipa fedha nyingi kwa kila kikopo kimoja cha ARVs???Jibu la hili swali liko wazi kabisa....

Kuhusu kuacha ARVs ni process kidogo,lakini nilishaeleza kwenye zile post zangu,fuatilia.

Tusiharibu uzi huu,wewe nenda kamalizie post zangu utajua mengi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom