Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #101
Mkuu Mkandara,
Nimekusoma na kiasi nakubaliana na wewe hasa hilo kundi la akina Ditto,Lowassa,Sitta na Apson.
Ngongo endelea tu kumpatapata Mkandara lakini basi tusema JK alikuwa mwongo katika ile Mkutano mkku wa ccm pale kizota?
hata hivyo Kitwana Kondo alikuta JK tayari kawawa na Mwinyi tayari wamekwishampika na yeye ndiye aliyekuwa mtazamaji kwa sababu kumbuka Kitwana Kondo alikuwa Meya wa Dar lini? na je alikuwa na nafasi ipi ya kushawishi JK akapaishwa vile?........hayo ni maswali ambayo yanadai majibu kabla hujamwelewamwelewa Mkandara
Last edited by a moderator: