Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Upo upande gani hapo..?
Kuwa na upande ndani ya CCM ? No, no, no, over my dead body !! Popote ndani ya CCM ni kuchafu na mimi ninavyochukia uchafu - tafadhali Kibunango, heshima mbele.
Upo upande gani hapo..?
Hivi huyu kijana Bashe ana uraia wa TZ?
Tanzania hatuna kabila la wasomali kwa hiyo wazazi wake wanaweza wakawa wametokea Somalia, Ethiopia, Eritrea au Kenya. Je walipata uraia wa TZ.
Kama Bashe amezaliwa nchini hiyo pekee haimfanyi awe Mtanzania bila kuomba uraia anapofika miaka 18, je alifanya hivyo?
Huyu aliyeweka thread hii ni Hussein Bashe mwenyewe, nashauri tusipoteze muda na vifisadi vinavyochipukia!
Kaandaliwa kumwadhibu Seleli kwa kushiriki kwake kwenye Richmond! Hussein ni FIASADI MKUBWA byhimself!
Rais BARAKA OBAMA mjaluo toka Kenya aliapa akiwa na miaka 18?Hivi huyu kijana Bashe ana uraia wa TZ?
Tanzania hatuna kabila la wasomali kwa hiyo wazazi wake wanaweza wakawa wametokea Somalia, Ethiopia, Eritrea au Kenya. Je walipata uraia wa TZ.
Kama Bashe amezaliwa nchini hiyo pekee haimfanyi awe Mtanzania bila kuomba uraia anapofika miaka 18, je alifanya hivyo?
Hussein Bashe ni kujana wa kisomali lakini anajiita mnyamwezi wa Nzega.
Kwa sasa anaishi Dar na ni kijana wa karibu sana wa Rostam Aziz ambaye ndiye anamfadhili kuhakikisha anamng'oa Selelii ambaye ameonekana kuwa mwiba wa mafisadi. Na sasa hivi anafanya kazi New HABARI (2006) Limited inayomilikiwa na Rostam kama meneja fulani.
Ni kijana mdogo kwa umri na anapenda sana siasa. Babaye nasikia ni shehe huko nzega.
Huu ni mwanzo wa kupata umaarufu, Selelii has to step down and leave young blood kufanya vitu vyake.
Hizo ni nguvu zake binafsi, kwani hata 2005 hakuwa na support yoyote ya unavyowaza kwani Selelii alikuwa ameshikamana kisawa sawa na hao mnaowaita mafisadi na ndio hao waliomwezesha selelii kupata Ubunge wakati Bashe anapambana alone,
Hadi leo yuko kivyake vyake yeye naturally ni MPAMBANAJI ana kipaji na uwezo mkubwa wa kupambanua hoja inayokuja mbele yake.MWACHENI
Jee una ushahidi wowote wa RA ku ''kupua'', au na wewe ni katika wale wenye agenda za siri, akina Mwanakijiji?
Mwezi uliopita Seleli alifanya mkutano kanisani Tabora na kusema kuwa Tabora itatawaliwa na wana Tabora na pia watu wa Tabora wajihadhari na magaidi.ukiona mtu anatoa kauli hizo wazi mbele ya vyombo vya habari ujue kuwa hali si nzuri.
Bashe amewahi kuwa rais wa wanafunzi chuo kikuu cha Mzumbe,jee alisaidiwa na Rostam kupata urais wa wanafunzi? kweli wanafunzi wa chuo kikuu wa Mzumbe wanaweza kudanganywa na RA?
Bashe alipambana vikali na Beno Malisa ambaye ni mtu wa Lowassa habari yake inajulikana mkitaka zaidi muulize Saeed Kubenea wa Mwanahalisi.
sasa kama Bashe ni mtu wa RA kwanini apambane na mtu wa Lowassa? kwani Lowassa na RA ni marafiki wakubwa na hawapingani kwenye siasa zao.
ili Malisa kumshinda Bashe ilibidi uchaguzi urudiwe wa UVCCM na Malisa kuomba kura za wagombea wa Zainab Kawawa.
lakini kama kweli mnafuatilia siasa Seleli si mpiga vita ufisadi kuna kitu kakikosa kutoka kwa Lowassa hicho ndio chanzo cha yeye kuwa tofauti na Lowassa, hafanyi kwa maslahi ya watanzania bali kwa kukosa kitu fulani.Seleli kafanyiwa Mambo mengi na Lowassa ni sawa na rais Bakili Muluzi na Bingwa wa mutharika wa Malawi.
kuna wanasiasa kama kina John Guninita walipokosa kitu kwenye CCM wakaenda upinzani wakati mioyoni mwao kuna kitu walikosana.Mrema alipopata demotion ya uwaziri mkuu na kuona hana nafasi ya kuwa Rais kupitia CCM akawa mpinzani.SELELI si mpigania haki za watanzania bali analia na maslahi yake binafsi.
inawezekana hii kaileta mtu wake kama sio yeye kutafuta kinga jimboni mwake.kama alikaa Nzega kwa muda wote na kupata habari ya Bashe vipi hili lingine atupe sisi watu wa jf ambao hatuko Nzega?
Nakumbuka kwenye uchaguzi wa Waziri mkuu Pinda kulikuwa na mada hapa kutaja nani atakuwa waziri mkuu baada ya LOWASSA kujiuzulu yalikuja majina mengi hakuna hata aliyebahatisha kuwa ni Pinda hiyo inatosha kukufahamisha kuwa habari za hapa hazina vyanzo vizuri kwa asilimia 70 ulizodai.
kama unataka kujua nguzu zake waulize wanafunzi wa Mzumbe waliompa urais,waulize Uvccm hasa wale aliwashinda kwenye chaguzi mbali mbali watakuwa na jibu zuri.au wana Nzega ndio watakuwa na habari zake nyingi na sahihi.
tusimshutumu kwa usomali kuwa alitakiwa aape akiwa na miaka 18 jee baraka Obama alipofika miaka 18 aliapa? sababu baba yake ni mjaluo wa Kenya. wenzetu wa Marekani wamemchagua Mjaluo toka Africa bara lingine kabisa sisi tunahoji usomali?
Shangazi labda hujui historia ya wana siasa wa Tabora.Seleli kafanya kazi kwa muda mrefu kwa Rostam Aziz,fuatilia ulizia.Seleli hakuwahi kuwa mwiba wa mafisadi yeye kapata nafasi ile kwa nguvu za mafisadi.
Seleli kama anabisha aje hapa tunamjua vizuri.kilichotokea ni kama ndoa yenye msukosuko kati ya Seleli na Lowassa na RA kwa upande mwingine.kuna kitu alikikosa Seleli chini ya uwaziri mkuu wa Lowassa hana nguvu kupinga ufisadi bali analia na maslahi binafsi.
Hapa unadanganya mrema hakuwa na hiyo nia unayosema ya urais, usiandike tu kwa kuwa una uhuru wa kuandika. Kama hujui chanzo cha mrema kutoka ktk serikali ya mwinyi bora kaa kimya kuliko kuudanganya umma. Jiulize nini kilikamatwa pale uwanja wa ndege dar na mrema, jiulize chavda issues n.k. usikurupuke make CCM mmmezoea kurukia issues!!!
Kuna watu siku hizi wanaitumia JF kupima upepo wa kisiasa na kijamii. Haingii akilini ufike Nzega halafu usipate taarifa za Hussein.
Anyway binafsi siasa za mkoa wa Tabora nimejaliwa kuzijua japo kwa kiasi fulani. In short ni kijana mpenda sifa na yuko tayari kushirikiana na mtu yeyote ili afikie malengo yake kisiasa.
In short hajawahi kumbana Seleli kwenye uchaguzi wowote! Matokeo ya kura za Maoni jimbo la Nzega mwaka 2005 ni ifuatavyo:-
1.Lucas Seleli 407
2.Abdallah Nasoro 150
3.Hussein Bashe 90.
Kwa mujibu wa ofisi ya CCM Nzega.
Mtu pekee aliyewahahi kumbana Seleli ni Abdallah Nasoro mwaka 2000 aliposhinda kura za maoni lakini alienguliwa na NEC. Kama kuna mtu ana matokeo tofauti na haya ni PURE FABRICATION.
Nimeamua kutoa takwimu hizi ili kuweka kumbukumbu sawa. Wana JF jioneeni tofauti ili mjue nani alibanwa 2005.
Sifa nyingi anazopewa humu JF ni tofauti kabisa ni jinsi tumjuavyo.
Nawasilisha.
KATIBA ya USA ni tofauti kabisa na KATIBA ya JMT.Rais BARAKA OBAMA mjaluo toka Kenya aliapa akiwa na miaka 18?
Sahihisho hapo Mkuu... Bashe hakuacha kazi Mwananchi kaa hiari yake au kwa kuombwa na RA. Alilazimishwa kuacha kazi baada ya kugundulika kwua anajihusisha na siasa za vyama, jambo ambalo ni kinyume na sera za kampuni, na hakuwa peke yake, panga lilimkuta pia aliyekuwa CEO wakati huo, Ali mwambola.kwa mfano alikuwa Manager kampuni ya mwananchi lakini rostam alipomuomba akamsaidie new habari cooperation wala hakusita kwenda...
teh teh teh teh,Sahihisho hapo Mkuu... Bashe hakuacha kazi Mwananchi kwa hiari yake au kwa kuombwa na RA. Alilazimishwa kuacha kazi baada ya kugundulika kuwa anajihusisha na siasa za vyama, jambo ambalo ni kinyume na sera za kampuni, na hakuwa peke yake, panga lilimkuta pia aliyekuwa CEO wakati huo, Ali mwambola.
Tuendelee
Hili suala la kukumbatia wageni na kuzuia watu tusiwaite mabagacholi ni dhana mbaya sana ya CCM ili waendelee kuwatumia watu hawa kama wafadhili wao.Pengine BASHE mwenyewe ameamua kujiunga JF na kutundika swali hili ili afahamu iwapo JF ina dossier yoyote dhidi yake....Just thinking aloud.
Call me a racist,I simply don't trust hawa ma ba ga cho li (eg Jeetu Patel,Manji,Rostam....Bashe,nk).