Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Mmmhhh....nadhani kuna kitu kinatafutwa hapa.
Hii ni kwa wote wanaosema huyu muimbaji yuko juu kiroho.... kumbuka kuwa juu kiroho, kumcha Mungu au kutomcha Mungu ni siri ya mtu na Mungu wake, pia kipimo cha ucha Mungu si uimbaji wala kujionesha machoni pa watu! Mungu ana vipimo vyake vya utakatifu na si hivi tuvitumiavyo sisi wanadamu.
Kama unasoma biblia, kuna stori ya Kornelias ambaye hakuwahi kuambatana wala kufanya yale yaliyokuwa yakitendwa na Wakristo wa enzi zile kama Wayahudi, lakini Mungu alimuona anafaa na kumwambia sala zake zimefika mbinguni.
Kipimo cha utakatifu anachotumia mwanadamu ni tofauti na kipimo cha Mungu aonae sirini mwetu period!!
...... Shika dini umtazame Mungu wako na wala usimtazame mwanadamu. Siku hizi mziki Wa injili ni biashara na wala siyo kiroho, wasanii wengi matendo na tabia kamwe hayafanani na wanayoimba.
....Mchungaji Shushu anadai kuwa dada ameshajiunga na dini ya wajenzi huru manake ishara na mambo kadhaa afanyayo ndani huwa amuelewi kabisa.....
Duuhh Kumbe florah na Christina shusho wote michepuko tu
Christine Shusho ni kweli ana asili ya DRC, na ndugu zake baadhi wapo kambi ya wakimbizi nyarugusu, kigoma. She is pretty kwa kweli. Nyimbo zake zina upako na zina bariki sana. Tena ni designer mzuri sana, Kuwa Mkongolee sio lazima upake mkorogo, inategemea umetokea fasi ya wapi?
Bukuku ni kweli maana alimpangia ofisi uko kariakoo na kuna uzinduz wa album yake moja iv mzee ndo alisimamia show nzima kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, hata ile nyumba ya bahat ya tabata jamaa pia alitia barak zake
haya bwana. ujue ninashangaa sana wasanii wa muziki wa injili(hasa shusho, florah na bukuku) wanaonekana kuwa na maendeleo makubwa sana, nikadhani kuwa nyimbo za injili zinalipa sana kumbe wengi ni wachepukaji tu. Mhh kama ni kweli wataaibika sana mwaka huu
Bukuku ni kweli, maana uo umbea nilipatag kwa mmoja wa wafanyakaz wa ofisi yake iliyopo kariakoo