Who is Christina Shusho historically?

Felixonfellix

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
1,672
182
SHUSHO2%3D9...jpg


Salamu wan JF,

Tafadhali naomba kujua historia fupi ya mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili aitwaye Christina Shusho.

Mbarikiwe kwa msaada wenu
============

Ni mtumishi wa Mungu wa ukweli. Ana mume na watoto 3, wawili wa kike na mmoja wa kiume. Mume wake anafanya TRA na ni mchungaji msaidizi wa kanisa moja la Kilokole. Mume wake ametokea Kigoma. Hivyo yeye ni mama Mchungaji. Inasemekana yeye ni Mnyamwezi wa kuhamia lakini asili yake ni Congo (Ingawa hapa sina uhakika sana)!

Ni mtumishi ambaye ameinuliwa na Mungu mwenyewe! Pia anajua kukaa magotini pa Bwana na ndiyo siri ya kukubalika kwake. Inasemekana yeye kama yeye alianzia chini sana! Alikuwa na duka la nguo, workshop ya kushona nguo & designing Kariakoo ambayo ameifunga mwishoni mwa mwaka jana.

Ni kweli alikuwa anaenda kufunga mzigo Dubai n.k. Kwa sasa sijui kahamishia biashara hiyo wapi! Pamoja na mume wake, wana studio ya kurekodi miziki ya Injili Kigoma. Kwa anayetaka habari zaidi ani PM lakini nadhani zinatosha!

Usilolijua ni kama usiku wa giza. Huyu dada kabla sijajua uchafu wake nilikuwa napenda sana nyimbo zake. Christine ni Mkongo kwa asili, alifikia kwenye kambi ya wakimbizi Kigoma, mumewe ambaye ni Mchungaji Shusho ni mtu wa Kigoma na ndiye aliyefanya makaratee yote kumtoa Christine kambini na kumfanya kuwa raia na kumuoa kabisa.

Ukoo wa mumewe yaani kina Shusho wamebarikiwa kidogo kwa unafuu wa kimaisha na karibia wengi wamesoma na wanaishi Ulaya na Marekani. Mchungaji Shusho kifedha anajiweza siyo mbaya. Baada ya mumewe kugundua kuwa mkewe anakipaji kikubwa cha kuimba akaona afanye juu chini kumpa support ya nguvu.

Baada ya mafanikio na umaarufu mwingi, dada amekuwa limbukeni wa kutupwa na kuanza kuota mapembe kumuona mumewe sio hadhi yake tena. Hivi sasa ndoa iko taabani vibaya mno, vikao vingi vimekaa vya familia lakini binti anaomba msamaha wa kinafiki na kuendelea na mambo yake.

Inasemekana kuwa bwana mamvi aliyepata kuwa waziri mkubwa na kuachia ngazi kwa kashfa flani ya kampuni ya umeme ndiye anakaa pale kwa sasa. Dada kazuzuka vibaya kwa kuwa jamaa anakata mshiko wa ukweli na safari za matumizi za kufa mtu. Na anajiamulia safari bila kibali cha mumewe, maana hana sauti tena juu yake.

Mchungaji Shusho anadai kuwa dada ameshajiunga na dini ya wajenzi huru manake ishara na mambo kadhaa afanyayo ndani huwa hamuelewi kabisa. Bwana mamvi anataka kuhakikisha kuwa ndoa inavunjika ili afanye nyumba ndogo kwa uhuru kabisa.

Kwa ufupi ni hayo tu, na mkinichokoza zaidi... Shika dini umtazame Mungu wako na wala usimtazame mwanadamu. Siku hizi mziki wa injili ni biashara na wala siyo kiroho, wasanii wengi matendo na tabia kamwe hayafanani na wanayoimba.
 
She studied English course for one year 2006 at The Assemblies of Go Bible College, Dodoma. She is originally from Kigoma though some claim her family to have moved to Kigoma from DRC.
 
Thanks very much JF members, I still need more about this servant of the living God???? Cha muhimu ni historia yake tu!!!!!
Nafahamu kuwa ni mke wa mtu na daima naheshimu sana ndoa na utu wa mtu. Tunzeni ndoa zenu
 
any way mi simjui, lakini kuna wimbo wake mmoja hapa nikiusikiliza nasikia kama nakutana na Mungu uso kwa uso, hebu jisomee mwenyewe na ubarikiwe sana...
Wimbo: EE BWANA UMENICHUNGUZA (UMETUNGWA KWA MUJIBU WA ZABURI 139)
1.
Ee Bwana umenichunguza, na kunijua,
wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu,
umelifahamu wazo langu tokea mbali,
umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu,
umeelewa na njia zangu zooote X2

2.
maana hamna nenoo ulimin mwangu usilojua hakika Bwana,
umenizingira nyuma na mbele, ukaniwekea makono wako
maarifa haya ni ya ajabu yanashinda mimi,
hayadirikiki, siwezi kuyafikia X 2

3.
Niende wapi, nijiepushe, na roho wako,
niende wapi niukimbie uso wako,
kama nitapanda mbinguni wewe uko,
nikifanya kuzimu kitanda huko nako uko,
kama nitasema na hata giza litanifunika,
giza nalo halikufichi kitu,
giza na mwanga kwako sawasawa

4.
eeMungu, unichunguze,
uujue moyo wangu, ee Mungu,
unijaribu uyajue mawazo yangu, ee Mungu, , ee Mungu
uone kama iko njia iletayo majuto ndani yangu,
ee Mungu uniongoze katika njia ya haki, milele,
maana wewe uliye Mbinguni, uzima wangu ee Mungu,
macho yako yaniona kuwa sijakamilika, ee Mungu
nimekuita unisikie sauti yangu nikuitapo baba ee Mungu, ee Mungu ,
ee Mungu, ee Mungu, ee Mungu
unichunguze uujue moyo wangu, ee Mungu ,
ee Mungu unijaribu uyajue mawazo yangu ee Mungu,
maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo wangu
yapate kibali mbele zako, ee Mungu, ee Mungu x2
 
Thanks very much JF members, I still need more about this servant of the living God???? Cha muhimu ni historia yake tu!!!!! Nafahamu kuwa ni mke wa mtu na daima naheshimu sana ndoa na utu wa mtu. Tunzeni ndoa zenu

Mkuu, it is not easy to get her history from anyone kwa sababu hana skandali yoyote. Ikiwa huna nia mbaya piga hodi kanisa la TAG Ilala, watakuambia how to meet her kisha mwaweza kuongea.

Thanks for this thread anyway, I didn't know she was from DRC. I thought she is Nyakyusa.
 
Sina nia mbaya hata kidogo, cha muhimu ni kupata historia yake tu. Hata hivyo asanteni kwa mchango wenu
 
Is her name Christina Shusho or Christina Shushu!!!!??? For sure she is a dedicated mother and servant of God. She is free from scandals. She and her husband are trully serving the living God.
 
Ni mwimbaji mzuri asiye na makuu, umaarufu haujaharibu sifa yake ya kuwa mke mwema: anavaa kiheshima na anakiasi nashangaa kusikia ana asili ya Congo! maana sioni kujichubua na make up za hawa wenzie.
Mtoa mada wasiliana na mtandao wa Strictly Gospel walimfanyia mahojiano kwenye magazine yao. Mungu azidi kuiinua huduma yake.
 
Is her name Christina Shusho or Christina Shushu!!!!??? For sure she is a dedicated mother and servant of God. She is free from scandals. She and her husband are trully serving the living God.
Christina Shusho.
 
Ni mwimbaji mzuri asiye na makuu, umaarufu haujaharibu sifa yake ya kuwa mke mwema: anavaa kiheshima na anakiasi nashangaa kusikia ana asili ya Congo! maana sioni kujichubua na make up za hawa wenzie.
Mtoa mada wasiliana na mtandao wa Strictly Gospel walimfanyia mahojiano kwenye magazine yao. Mungu azidi kuiinua huduma yake.

Nyimbo zake zina upako. Huchoki kuzisikiliza na ukizisikiliza unahisi uwepo wa MUNGU na kutiwa nguvu mpya.
Burudikeni na wimbo wake huu wa kuabudu.

 
Last edited by a moderator:
She has a sweet voice na nyimbo zake karibia zote zimetoka kwenye bibilia takatifu, ubarikiwe Mamy na uzidi kumtukuza Mungu.
 
we mtoa mada bwana!! Kama unakitu wataka kusema we sema tu ila kumbuka person's historical background haikuhusu unless unalo unalolitafuta.
 
Back
Top Bottom