'Who created God' is an Illogical Question!

ndio zilete mkuu ili tuekane sawa kama hiyo ya kwanza ulioileta si umeshaelewa au hukuelewa kua mihuri wanagongewa waliotaka wenyewe kugongewa mihuri na kufunikwa macho yao
 
ndio zilete mkuu ili tuekane sawa kama hiyo ya kwanza ulioileta si umeshaelewa au hukuelewa kua mihuri wanagongewa waliotaka wenyewe kugongewa mihuri na kufunikwa macho yao
Sasa mimi leo ninesema Mungu hayupo.

Mungu kaniona nimetaka kugongewa muhuri kufunikwa moyo nisimjue.

Akanifunga moyo, masikio na macho nisimjue, wakati bado naishi.

Na hivyo wewe na mimi hapa JF hata tukijitahidi vioi ili mimi nimjue Mungu, hatutaweza kufanikiwa katika hilo.

Kwa sababu Mungu kashanifunga moyo, macho na masikio nisimjue.

Na Mungu akishafunga, hatuwezi kubadilisha.

Sasa kwenye hicho kitama mnachosema, Mungu akiniuliza "Kwa nini wewe hukunijua mimi na ulipinga kuwepo kwangu?" na mimi nikimjibu "Kwa sababu ulinifunga macho, masikio na moyo wangu nisikujue. Nina maelfu ya kurasa za maswali JF nukijaribu kukua lakini sikufaulu kwa sababu wewe ulishanifunga moyo, masikio na macho nisikujue kabla sijafariki". Huyo Mungu atajiteteaje?

Kwa nini Mungu afunge moyo, masikio na macho ya mtu wakati mtu bado anaishi?
 
Wapi nimeandika hilo?

Nikuulize wewe.

Unajua kuhesabu?

Unajua Kiswahili?

Umeelewa nilichoandika?
Unachoshindwa kunielewa ni pale unapoanza kutaja imani unazoona si sahihi wakati mie nimekuuliza kipi kinajulisha ipi ni imani sahihi na ambayo si sahihi.
 
Unachoshindwa kunielewa ni pale unapoanza kutaja imani unazoona si sahihi wakati mie nimekuuliza kipi kinajulisha ipi ni imani sahihi na ambayo si sahihi.
Nimekuuliza swali hapo juu naona umeliruka ama kwa ukosefu wa umakini katika kusoma, ama kwa kulisoma vizuri na kulielewa na kutaka kutolijibu.

Naomba uniambie kati ya mawili hayo lililo sahihi ni lipi.

Nimekuuliza, kwa nini unafikiri ni "kipi" kimoja?
 
We ulitaka watoke wapi?
Kama kweli kuna hoja za msingi za kumfanya mtu aache kuamini uwepo wa mungu kwanini iwe imani ya kikristo ndiyo wengi wanakubali hizo hoja na imani zengine vp? Ingetakiwa imani zote wazione hizo hoja na si imani moja tu ndiyo iwe inatoa wapinga mungu wengi.

Halafu mkitoka hapo mnasema mmefanya uchunguzi na ndiyo ukafikia kugundua kuwa hakuna mungu,ugunduzi huo unafanywa na wakristo tu pekee?.
 
Kama kweli kuna hoja za msingi za kumfanya mtu aache kuamini uwepo wa mungu kwanini iwe imani ya kikristo ndiyo wengi wanakubali hizo hoja na imani zengine vp? Ingetakiwa imani zote wazione hizo hoja na si imani moja tu ndiyo iwe inatoa wapinga mungu wengi.

Halafu mkitoka hapo mnasema mmefanya uchunguzi na ndiyo ukafikia kugundua kuwa hakuna mungu,ugunduzi huo unafanywa na wakristo tu pekee?.
Kwa hiyo ma Atheist wote walikuwa wakristo?
 
Nimekuuliza swali hapo juu naona umeliruka ama kwa ukosefu wa umakini katika kusoma, ama kwa kulisoma vizuri na kulielewa na kutaka kutolijibu.

Naomba uniambie kati ya mawili hayo lililo sahihi ni lipi.

Nimekuuliza, kwa nini unafikiri ni "kipi" kimoja?
Hakuna niliposema "kipi" ni kimoja au hata kumaanisha hivyo.
 
Mkuu hivi kwanini wapinga mungu wengi wanatokea kwenye imani ya ukristo?

Nimeuliza sana hili swali ila sijibiwi,labda wewe unaweza ukawa na jibu.
..kwasababu christians wanakua Good Judges wa watu wengine alaf Pia biblia ambayo ndo msingi wa Imani Yao ina contradictions za kutosha na issue Ya kupinga dini haipo kwenye ukiristo tu it stretches through all religions
 
Life's a struggle,In contrast with other creatures, We are given free will and higher reasoning power so as we can find answers. Through faith and trust answers will uncover themselves.

Mungu ni muweza wa yote. GOD is infinity and ultimate in power and everything.
..thats the problem,the answers are found through FAITH AND TRUST sio kwa willingness anaetaka kuyafahamu hata asipoamini
 
Mungu yupo na hutuezi kumuelewa kwa akili na nguvu za kibinadamu za kawaida.
Hivi mnaopinga uwepo wa Mungu mnafikiri kwanini binadamu hawezi kuzuia kifo?
Unavyosafiri kwa mfano kwanini hujui kama utafika salama salimini hii inathibitisha kuwa kuna ziada ya akili za kibinadamu.
Binadamu akili zake zimeishia sehemu Fulani sasa Mungu anaanzia hapo.
MTUMIKIE MUNGU NA UMPENDE KWA AKILI ZAKO NA NGUVU ZAKO ZOTE USITENDE DHAMBI DAIMA UTAEZA KUMSHUHUDIA KATIKA MAISHA YAKO.
WENGI TUNASHINDWA KUMSHUHUDIA MUNGU, KUMJUA SABABU TUMEZAMA KATIKA MAOVU.
MUNGU NI MTAKATIFU HAPATIKANI KATIKA GIZA BALI YU HAI KWENYE MWANGA SISI TUMEZAMA KWENYE GIZA NDIO MANA HATUMUONI.
..death is Life maana we are part of the universe na tunategemeana so one must die so that other lifeforms should exist since "energy haiwezi kuwa created au kuwa destroyed but rather transformed into other states" mfano ukiwa utaoza kutoa nutrients to the soil ambazo mimea itafyonza kutengeneza chakula ambacho yupo mtu atakula and so and so kwaio huwezi kuzuia death maana w/o it hakuna Life
Issue Ya uncertainity,fear na stress inalie kwa mtu mmoja na mwingine but ukiapply law of attraction(like attracts Like) ndo utaelewa source Ya ivo vyote
 
Hii mada ni nzito sana na asithubutu mtu kujibu suali ambalo hana elimu nalo, tena narudia kusema hii madda ni nzito anahitajika mwanazuoni aliebobea katika kueleza suala la mungu na uungu wake, guys be carefull!
Na wewe unaesema kua mungu hayupo sidhani kama unahaki ya kusema kua mungu hayupo kwa kwasababu na wewe huna ushahidi kama mungu hayupo, isipokua unaweza kusema kua huna uthibitisho wa kua mungu yupo au hayupo kwasababu nakusihi ikiwa unasema hayupo kisha huko mbele ukaja ukapata maarifa ya kumtambua mungu hudhani kua huku nyuma utakua umemkosea sanna mungu kwa kusema hakuna mungu huyo?
..wewe unaesema Yupo,do u have prove kuwa Yupo thats the main theme of the thread maana hayo mengne Yanabaki kuwa mchezo wa pata potea eti kwasababu siJui niamini tuu,no way!!!
 
Can you prove God exists at all?
Yes;
By the design and purpose base.
You can prove the existence of The designer (GOD)
EXAMPLES
1) THE TWO GENDER WE HAVE IS NOT AN ACCIDENT. IN A WOMAN THE MOST SENSITIVE PART IN TERMS OF SEXUAL MATTERS (THE CLIT) IS NOT ON IT'S POSITION AS AN ACCIDENT. IT WAS A DESIGNED POSITION FOR THE PURPOSE OF MAXIMUM STIMULATIONS BY THE PARTNER
2)WHEN IN YR MOM WOMB U FEED BY A SYSTEM OF PIPE FROM MOM TO U .BUT JUST AFTER BIRTH YOU SWAP TO THE BREASTS. THAT IS NOT AN ACCIDENT. DESIGN AND PURPOSE (IS GOD) HOW HE STARTED IS BEYOND OUR 100 GRAMME WHITE PORRIDGE.
 
Napenda kuchukua fursa hii kujibu swali lako kama ifuatavyo
mimi nnaimani wewe ambae unasema kua hakuna mungu utakua ni mchamungu mzuri sanna ikiwa utafahamishwa vizuri na kuelewa na mwishowe ukamuelewa mungu, wengi wetu tumezaliwa na imani kua mungu yupo na tumezaliwa tukaikutia dini na baadae tukasomeshwa dini ila hatukubahatika kuuliza maswali ya kuichallange dini kama ulivyopata wewe hii nafasi, binafsi mimi naogopa kusema kua hakuna mungu hata kama ninawasiwasi wa uwepo wa muungu kwasababu ya mila na tamaduni niliozaliwa nayo

Mimi kwa uelewa wangu mdogo wa kumtambua mungu naomba nikupe ushahidi wa kuwepo kwa mungu kama ifuatavyo,
Sisi waislamu tumepewa muongozo wa kitabu ambao ni qur an, sasa katika hiyo qur an nakuomba usome hata aya moja tu ya quran na upate tafsiri yake na mafundisho yake kisha uje unieleze maneno hayo ya qur an yanaweza kufanana na mwanaphilosophy yoyote unaemfahamu wewe? ukimaliza kusoma hiyo aya ilete hapa nikuelekeze na nikueleweshe kama hayo si maneno ya mwanaadamu kwasababu gani.
..sasa wewe unaefahamu kuran c ungekuja na huo uthibitisho haraka haraka tuokoe muda maana hapa inabidi nianze tena tuition Ya alifu ndo niweze kusoma na kuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom