Huyu Joseph Kusaga ni mtoto wa yule mzee wa Mara Corp?
"The distance between genious and insane is measured only by success" - Kwenye picha ya James Bond
Vile vile ni arrogance kubwa kubeza waliojiajiri.... AU SIVYO??????
Ngoma drooo, mkuki mchome nguruwe kwa binadamu mchungu eeeh??!!
Sio nyinyi mnaomuita Mwanakijiji ana radio ya MBAO au redio ya VICHOCHORONI????!!! sema, uongo au kweli??!! Kwanini mnamkatisha tamaa?
Mbona mabox mnaipigia kelele?!! Nimewashikaaaaaaaaa!
Hapa jiwe kwa jiwe!! Jino kwa jino!! kama anavyosema Mzee ES ukileta za kuleta tunakuletea vilevile. Yupo wapi Semvulachole aliyekashifu watu. Kawaachia nyie mnamtetea???