Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Hizi sio rumours. It is public knowledge kwamba Mbowe anaidaiwa sana na kwamba ana kesi mahakamani na NSSF juu ya kushindwa kulipa deni na NSSF wana judgement tayari. Sasa Bwana Kitila kama una kengeza inapokuja habari ya CHADEMA that is one thing, lakini sio busara wala heshima watu wakileta habari hapa kuziita "utupu".
Soma tena kichwa cha habari. hali mbaya tunayojadili hapa ni ipi: Freeman kukopa au kudaiwa? Je, kwa mfanyabiashara kukopa au kudaiwa ni hali mbaya au ni tatizo? Ndio watu wakasema tuwe nasubira katika ku-post thread mpya. Kama kuna kitu umesikia, tafiti basi angalau kidogo kabla hujamwaga hapa kwa mjadala ili ulete kukiwa na some fresh in it. Mpaka hapo tumeshaingia sehemu ya pili ya hii thread bado hamna kitu. Vinginevyo nitaendelea kusema tunajadili utupu (vacuum), japokuwa tunahaki ya kujadili chochote.