"White widow" mjane mweupe anayeumiza vichwa vya majasusi duniani

Huyo mama kwa akili ya kawaida kabisa isiyo na mafunzo ya ujasusi ni CIA
Hilo nalo neno au kikundi chochote cha ujasusi, MI5 au Mossad, maana huwa na mapandikizi wengi, mpaka leo asipatikane? Haiingii akilini.

Juzi juzi nilikuwa naisikiliza interview ya Msaudi jasusi wa Uingereza aliyeishi na kufanya kazi na Al Qaeda kwa miaka bila kujulikana. Mara ya mwisho alikuwa ni bonge la executive kwenye bank moja ya Magharibi.

Watu waliofanya kazi nje za nchi au hata kwenye ma NGO kama kina Msechu na wakaja huku wakapata nyadhifa za juu na jinsi vichwa vyao vinavyofikiria tofauti na Watanzania, wengi huwa ni mapandikizi ya Kimataifa.
 
Hilo nalo neno au kikundi chochote cha ujasusi, MI5 au Mossad, maana huwa na mapandikizi wengi, mpaka leo asipatikane? Haiingii akilini.

Juzi juzi nilikuwa naisikiliza interview ya Msaudi jasusi wa Wa Uingereza aliyeishi na kufanya kazi na Al Qaeda kwa miaka bila kujulikana. Mara ya mwisho alikuwa ni bonge la executive kwenye bank moja ya Magharibi.

Watu waliofanyakazi nje za nchi au hata kwenye ma NGO kama kina Msechu na wakaja huku wakakapata nyadhifa za juu na jinsi vichwa vyao vinavyofikiria tofauti na Watanzania, wengi huwa ni mapandikizi ya Kimataifa.
Asante.
 
Siku chache kabla ya shambulio la Westgate, Elvis Weulo, mkazi wa Buruburu jijini Nairobi alipokea simu kutoka kwa Abdukadir Haret Mohammed, akimtaka amuuzie gari yake.

Septemba 06, 2013 Elvis Weulo alikutana na Abdikadir Mohammed "Mohammed Hussein" akiwa na mshirika wake Hussein Abdi Ali, ndani ya Bank jijini Nairobi.

Abdukadir Mohamed alitoa kiasi cha pesa katika account yake kisha kumkabidhi Elvis Weulo kiasi cha 500,000/= Ksh kama fedha ya malipo ya gari hiyo aina ya Mitsubishi Sedan ya silva yenye usajili namba KAS 575X.

Jumamosi ya Septemba 21, 2013 saa sita na dakika 26, Mitsubishi hiyo ilifika nje ya eneo la maduka makubwa ya Biashara "Westgate" kupitia barabara ya Peponi.

Ndani ya gari hiyo kulikuwa na watu wanne, Abu Baraa Al Sudan raia wa Sudan aliyedhaniwa kuongoza kikosi hicho, Khatab Alakene "Khadhab, Umir Al Mogadishu (hawa wawili ni raia wa Marekani wenye asili ya Somalia).

Mwingine ni Omar Abdulrahman Nabhan, raia wa Kenya mpwa wa Swaleh Nabhan mshirika wa Harun Fazul Mwanamikakati wa Al Qaeda ukanda wa Afrika Mashariki.

Ifahamike kuwa Harun Fazul aliyekuwa kiongozi wa Al Qaeda Afrika Mashariki aliuawa Mogadishu Juni 2011.

Baada ya kufika Westgate kilomita chache kwenda ikulu ya Kenya, Watu wanne wakiwa na bunduki aina ya AK 47 na mikanda ya risasi viunoni, walishuka kisha kujigawanya katika makundi mawili.

Magaidi wawili walipitia sehemu ya juu ya kuegesha magari na kuanza kuwafyatulia risasi watu.

Ndani ya dakika chache za kuhesabu, watu 25 waliuawa papo hapo.

Upande wa pili magaidi wengine wawili waliingia kwa kurusha mabomu matatu ya mkono (grenade) kabla ya kuanza kuwamiminia wateja risasi.

Awali, polisi walidhani ni uhalifu wa kawaida lakini baada ya muda kidogo kupita, Mkaguzi wa Polisi David Mwole Kimayo alihabarishwa kwa njia ya simu kuwa wavamizi waliokuwa ndani ya jengo hilo ni magaidi wa Al Shabaab.

Kutokana na ukubwa wa tukio hilo, ilitolewa amri ya kuongeza nguvu hivyo kikosi cha "Flying Squad" kilichoongozwa na Naibu Kamanda, Charles Wanjau kilizingira jumba hilo kuanza jitihada za kuwakomboa mateka.

Wavamizi hawakujali la muadhini wala mnadi swala kwani waliendelea kukatisha ndoto za watu kwa kuwaua.

Kikosi cha "Recce" kilichopokea mafunzo Israel, Marekani na Uingereza ya kuingia katika majumba ya utekaji nyara, kukomboa mateka na kukabiliana na magaidi nacho kiliingia kikiwa kimejihami na vizibao vya kuzuia risasi na silaha za kisasa.

Kikosi hicho kilifanikiwa kukomboa ghorofa ya juu na ya pili kutoka mikononi mwa Al Shabaab.

Baada ya Mapigano ya risasi kukolea wapiganaji wa Al Shabaab waliingia duka la NAKUMAT kuendeleza uovu wao.

Katika duka la NAKUMAT kulikuwa na njia ya kutokea nje ambayo Vikosi vya Usalama vya Kenya viliitumia kukombolea mateka bila wapiganaji wa Al Shabaab kufahamu.

Baada ya muda kupita Kikosi cha "Flying Squad" na "Recce" vilifanikiwa kukomboa mateka wote na kuliacha jengo hilo likiwa na wanamgambo wa Al Shabaab pekee.

Zikiwa zimesalia dakika chache kukamilika kwa oparesheni hiyo, aliyekuwa Mkuu wa Majeshi wa Kenya, Julius Waweru Karangi, aliwasili akiwa na wanajeshi zaidi ya 200 kutoka katika Kambi ya Lang'ata na Kahawa kuchukua hatamu ya operesheni hiyo.

Wanajeshi waliingia kwa kishindo na zana zao za kivita ikiwemo silaha hatari katika uwanja wa vita "General purpose Machine gun" (GPMG), kuanza oparesheni bila kuwasiliana na "Recce" wala polisi, kitendo kilichosababisha kushambuliana wao kwa wao.

Martin Munene Kthunji, Afisa wa GSU Kitengo cha "Recce" aliyekuwa mstari wa mbele kupambana na magaidi wa Al Shabaab aliuawa kwa risasi ya serikali yake na wengine wanne kujeruhiwa kimakosa.

Makamanda wa "Recce" na polisi walichukizwa kwa kitendo hicho hivyo kuondoa vikosi vyao katika oparesheni.

Wakati Jeshi la Kenya likijiandaa kukabiliana na Al Shabaab, wapiganaji hao walipigiwa simu kupewa taarifa ya kutoroka katika eneo hilo.

CCTV camera za duka la NAKUMAT ziliwaonesha wanamgambo wakigeuza camera na kuingia mlango wa nyuma wa chumba cha kuhifadhia mizigo.

Baada ya hapo, magaidi hao hawakuonekana tena na hakuna aliyefahamu namna walivyotoweka zaidi ya wao wenyewe.

Taasisi za Ujasusi za kimataifa zikaingia kazini kutafuta wahusika wa tukio na namna walivyoliratibu.

Katika uchunguzi walioufanya walibaini kuwa tukio la Westgate liliratibiwa na mwanamke aliyeonekana siku chache kabla ya shambulio kutokea.

Mwanamke huyo akiwa na mume wake walienda Westgate kukodi sehemu kwa ajili ya Biashara.

Wanandoa hao walidhamiria kuipata ramani ya jengo zima la Westgate kufanikisha mpango wao.

CIA, MOSSAD na NIS walianza kufatilia kuhusu mwanamke huyo aliyeonekana siku chache kabla ya tukio hilo.

Ikaja kugundulika kuwa Mwanamke huyo ni "White Widow" (Mjane mweupe) kinara wa ugaidi duniani.

Mwanamama huyo alizaliwa Desemba 05, 1983 katika mji wa Banbridge Kaskazini mwa Ireland.

jina lake ni Samantha Lewthwaite.

Mwaka 1994 wazazi wake walitengana kwa taraka jambo lililomuathiri kwa kukosa malezi bora.

Alipofikisha miaka 17 alibadili dini kuwa Muislamu suala ambalo halikuungwa mkono na wazazi wake wote.

Alipohitimu elimu ya Sekondari alijiunga na Chuo Kikuu cha "London School of Oriental and African Studies" akisomea Masomo ya Siasa na Dini.

Julai 07, 2005 mume wake Samantha, Germaine Lindsay alijilipua katika train na kusababisha vifo vya watu 56 na majeruhi zaidi ya 700.

Kutokana na tukio hilo lililompotezea mume wake na kumuacha akiwa na ujauzito wa miezi 8, CIA walimbatiza jina la "White widow" wakimaanisha mjane mweupe baada ya kujiridhisha kuwa alishiriki katika mipango ya tukio hilo.

Baadaye Samantha aliolewa na Hassan Maalim Ibrahim "Sheikh Hassan" kiongozi wa ngazi za juu wa Al Shabaab.

Kwa mujibu wa taarifa za kijasusi, inaaminika kwamba kwa sasa Samantha ni miongoni mwa viongozi wa juu wa Al Shabaab anayepanga, kufundisha na kuratibu matukio mbalimbali ya kigaidi.

Ndimi Juma Wage
Dodoma.
Septemba 14, 2023.
Nukta muhimu ni kikosi cha Recce kilpata mafunzo Israel na UK na kilikuwa cha mwanzo kufika Nakumat kabla vikosi vingine. Kama kwamba siku hiyo walikuwa wamepiga kambi kwa ajili ya sinema ile.

White widow mjane wa UK aliolewa na kiongozi wa Alshabaab. Kuna mtu maalum alisimamia ndoa hiyo ya msomali na muiengereza.

White widow ni mzaliwa wa UK sijui alipataje leseni ya kuanzisha biashara Kenya siku tatu kabla ya tukio. Kuna watu walikuwa wanamfahamu white widow na walikuwa wakiona kila hatua zake.
UJINGA MTUPU
 
Nukta muhimu ni kikosi cha Recce kilpata mafunzo Israel na UK na kilikuwa cha mwanzo kufika Nakumat kabla vikosi vingine.Kama kwamba siku hiyo walikuwa wamepiga kambi kwa ajili ya sinema ile.
White widow mjane wa UK aliolewa na kiongozi wa Alshabaab .Kuna mtu maalum alisimamia ndoa hiyo ya msomali na muiengereza.
White widow ni mzaliwa wa UK sijui alipataje leseni ya kuanzisha biashara Kenya siku tatu kabla ya tukio
Kuna watu walikuwa wanamfahamu white widow na walikuwa wakiona kila hatua zake
UJINGA MTUPU
Recce waliingia wamechelewa, kazi ilikwishamalizwa na mashujaa wachache sana wa "system", waliowahi kufika kuliko kikosi chochote kingine cha Kenya, na waliingia kazini moja kwa moja.

Msome Innayyat Kasssam, msome Abdul Haj Noor, na kuna kijana mwengine jina limenitoka kidogo, nikilipata ntalileta ukumbini.

Hao ndiyo mashujaa wa kweli, forces zingine zinaingia tayari maharamia washayeyuka wakaanza looting tu.
 
Recce waliingia wamechelewa, kazi ilikwishamalizwa na mashujaa wachache sana wa "system" waliwahi kufika kuliko kikosi chochote kingine cha Kenya, na waliingia kazini moja kwa moja.

Msome Innayyat Kasssam, msome Abdul Haj Noor, na kuna kijana mwengine jina limenitoka kidogo, nikilipata ntalileta ukumbini.

Hao ndiyo mashujaa wa kweli, forces zingine zinaingia tayari maharamia washayeyuka wakaanza looting tu.
Huyu innayyart kassam ni former soldier
 
Nilikua nauliza sorry
Nimesearch mtandao, nimepata haya mache yanayomuuhusu:

Mambo 10 Unayopaswa Kujua Kuhusu Double Tragedy Superman Inayat Kassam​

1694698899266.png


Mwaka 2013 wakati wa shambulio la Westgate, alikuwa miongoni mwa timu ya uokoaji, na mwaka 2019, pia aliweka maisha yake katika maisha yake, hata akifanya kazi bila ushahidi wa risasi.

Tunachagua kusherehekea hii hapa kama YVK kwa kufunua habari zaidi juu ya utambulisho wake wa kweli

  1. Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 52 anayeishi Kenya ni raia wa Israel
  2. Inayat Kassam ni mwalimu mwenye uzoefu wa kupambana na risasi, pamoja na kuwa Mwalimu wa EDA Krav Maga.
  3. Bw. Kassam ni Mkurugenzi Mtendaji wa Scorpio Africa Ltd; kampuni ambayo hutoa usimamizi wa usalama na mafunzo kwa njia ya wafanyakazi wa usalama, mafunzo yasiyo na silaha / silaha na mafunzo ya silaha yaliyothibitishwa.
  4. Anahudumu katika Chuo cha Ulinzi cha Kenya Krav Maga kama mwalimu wa Chuo cha Ulinzi cha Wasomi (EDA) na amethibitishwa kama Mwalimu wa Juu wa Tactical Shooting.
  5. Katika Afrika, yeye ndiye pekee ambaye ni mkufunzi wa EDA aliyethibitishwa kimataifa mbali na Afrika Kusini
  6. Miongoni mwa kozi anazotoa katika shule yake EDA ya mafunzo hatari ni pamoja na: H. E. A. T. (Mafunzo ya Uhamasishaji wa Mazingira ya Jeshi), Majibu ya Scenario ya Shooter ya Active, Kozi ya Kazi ya Blade, Kozi ya Silaha za Silaha, Taratibu za Kukamatwa na Kupumzika pamoja na Mafunzo ya Silaha za Tactical.
  7. Inayat ni Mwalimu wa Kiwango cha 2 Krav Maga aliyethibitishwa kikamilifu, na anashikilia kiwango cha Black Belt Level 1 ndani ya Mfumo wa EDA Krav Maga
  8. Pia alifunza na vyombo mbalimbali kama vile SKOPOS, ACT, na AMOK katika kipindi cha miaka 9 iliyopita.
  9. Ofisi zake ziko Nairobi, Scorpio Africa, Sakafu ya 2, Apricot Suites, Nne Parklands Ave
  10. Kampuni yake ina ofisi za makao makuu nchini Afrika Kusini

Chanzo: 10 Facts You Should Know About Double Tragedy Superman Inayat Kassam - Youth Village Kenya
 
Nimesearch mtandao, nimepata haya mache yanayomuuhusu:

Mambo 10 Unayopaswa Kujua Kuhusu Double Tragedy Superman Inayat Kassam​

View attachment 2749063

Mwaka 2013 wakati wa shambulio la Westgate, alikuwa miongoni mwa timu ya uokoaji, na mwaka 2019, pia aliweka maisha yake katika maisha yake, hata akifanya kazi bila ushahidi wa risasi.

Tunachagua kusherehekea hii hapa kama YVK kwa kufunua habari zaidi juu ya utambulisho wake wa kweli

  1. Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 52 anayeishi Kenya ni raia wa Israel
  2. Inayat Kassam ni mwalimu mwenye uzoefu wa kupambana na risasi, pamoja na kuwa Mwalimu wa EDA Krav Maga.
  3. Bw. Kassam ni Mkurugenzi Mtendaji wa Scorpio Africa Ltd; kampuni ambayo hutoa usimamizi wa usalama na mafunzo kwa njia ya wafanyakazi wa usalama, mafunzo yasiyo na silaha / silaha na mafunzo ya silaha yaliyothibitishwa.
  4. Anahudumu katika Chuo cha Ulinzi cha Kenya Krav Maga kama mwalimu wa Chuo cha Ulinzi cha Wasomi (EDA) na amethibitishwa kama Mwalimu wa Juu wa Tactical Shooting.
  5. Katika Afrika, yeye ndiye pekee ambaye ni mkufunzi wa EDA aliyethibitishwa kimataifa mbali na Afrika Kusini
  6. Miongoni mwa kozi anazotoa katika shule yake EDA ya mafunzo hatari ni pamoja na: H. E. A. T. (Mafunzo ya Uhamasishaji wa Mazingira ya Jeshi), Majibu ya Scenario ya Shooter ya Active, Kozi ya Kazi ya Blade, Kozi ya Silaha za Silaha, Taratibu za Kukamatwa na Kupumzika pamoja na Mafunzo ya Silaha za Tactical.
  7. Inayat ni Mwalimu wa Kiwango cha 2 Krav Maga aliyethibitishwa kikamilifu, na anashikilia kiwango cha Black Belt Level 1 ndani ya Mfumo wa EDA Krav Maga
  8. Pia alifunza na vyombo mbalimbali kama vile SKOPOS, ACT, na AMOK katika kipindi cha miaka 9 iliyopita.
  9. Ofisi zake ziko Nairobi, Scorpio Africa, Sakafu ya 2, Apricot Suites, Nne Parklands Ave
  10. Kampuni yake ina ofisi za makao makuu nchini Afrika Kusini

Chanzo: 10 Facts You Should Know About Double Tragedy Superman Inayat Kassam - Youth Village Kenya
Ok, ahsante, kumbe sikua mbali nalichohisi, ahsante kwa taarifa.
 
Nimesearch mtandao, nimepata haya mache yanayomuuhusu:

Mambo 10 Unayopaswa Kujua Kuhusu Double Tragedy Superman Inayat Kassam​

View attachment 2749063

Mwaka 2013 wakati wa shambulio la Westgate, alikuwa miongoni mwa timu ya uokoaji, na mwaka 2019, pia aliweka maisha yake katika maisha yake, hata akifanya kazi bila ushahidi wa risasi.

Tunachagua kusherehekea hii hapa kama YVK kwa kufunua habari zaidi juu ya utambulisho wake wa kweli

  1. Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 52 anayeishi Kenya ni raia wa Israel
  2. Inayat Kassam ni mwalimu mwenye uzoefu wa kupambana na risasi, pamoja na kuwa Mwalimu wa EDA Krav Maga.
  3. Bw. Kassam ni Mkurugenzi Mtendaji wa Scorpio Africa Ltd; kampuni ambayo hutoa usimamizi wa usalama na mafunzo kwa njia ya wafanyakazi wa usalama, mafunzo yasiyo na silaha / silaha na mafunzo ya silaha yaliyothibitishwa.
  4. Anahudumu katika Chuo cha Ulinzi cha Kenya Krav Maga kama mwalimu wa Chuo cha Ulinzi cha Wasomi (EDA) na amethibitishwa kama Mwalimu wa Juu wa Tactical Shooting.
  5. Katika Afrika, yeye ndiye pekee ambaye ni mkufunzi wa EDA aliyethibitishwa kimataifa mbali na Afrika Kusini
  6. Miongoni mwa kozi anazotoa katika shule yake EDA ya mafunzo hatari ni pamoja na: H. E. A. T. (Mafunzo ya Uhamasishaji wa Mazingira ya Jeshi), Majibu ya Scenario ya Shooter ya Active, Kozi ya Kazi ya Blade, Kozi ya Silaha za Silaha, Taratibu za Kukamatwa na Kupumzika pamoja na Mafunzo ya Silaha za Tactical.
  7. Inayat ni Mwalimu wa Kiwango cha 2 Krav Maga aliyethibitishwa kikamilifu, na anashikilia kiwango cha Black Belt Level 1 ndani ya Mfumo wa EDA Krav Maga
  8. Pia alifunza na vyombo mbalimbali kama vile SKOPOS, ACT, na AMOK katika kipindi cha miaka 9 iliyopita.
  9. Ofisi zake ziko Nairobi, Scorpio Africa, Sakafu ya 2, Apricot Suites, Nne Parklands Ave
  10. Kampuni yake ina ofisi za makao makuu nchini Afrika Kusini

Chanzo: 10 Facts You Should Know About Double Tragedy Superman Inayat Kassam - Youth Village Kenya
Sasa mbona wanatufanya mazumbukuku. Serikali nzima inafanyiwa mambo ya mzaha mzaha.
 
Nukta muhimu ni kikosi cha Recce kilpata mafunzo Israel na UK na kilikuwa cha mwanzo kufika Nakumat kabla vikosi vingine.Kama kwamba siku hiyo walikuwa wamepiga kambi kwa ajili ya sinema ile.
White widow mjane wa UK aliolewa na kiongozi wa Alshabaab .Kuna mtu maalum alisimamia ndoa hiyo ya msomali na muiengereza.
White widow ni mzaliwa wa UK sijui alipataje leseni ya kuanzisha biashara Kenya siku tatu kabla ya tukio
Kuna watu walikuwa wanamfahamu white widow na walikuwa wakiona kila hatua zake
UJINGA MTUPU
Ina maana haya masuala muda mwingine watu wanaamua tu kuyaachia kwa sababu zao maalumu na wanaoangamia ni wananchi wa kawaida
 
Back
Top Bottom