joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Hivi hadi Leo kuna mtu toka nje ya Kenya anasafiri na KQ?, pole Zari, ila umejitakia mwenyewe, watu walishaacha kutumia KQ, kwanza ndege zao zimechoka sana, wakati wowote zitachinja watu.Wakenya habari kama hizi mbona huwa hamleti tuone