While KQ is at economical Depression ATCL set to receive brand new 2nd B787-8

Kwa Mara ya Kwanza Mkenya anapongeza Tanzania.Very exciting!!
Wakenya sio wanafiki na wapikaji takwimu, Wakenya vyombo vyao vya habari Ni huru, Wakenya wanajua rights/haki zao, Wakenya wanamkosoa Rais wao bila kuogopa kuvamiwa na waliovaa nguo za kijani, Wakenya wakisikia wamenyanyaswa wanaingia mitaani na kutolea Serikali fujo, Wakenya wanahoji matumizi ya pesa kwa kuwa Ni watoa ushuru, Wakenya hawafurahishwi Ni vitu vidogo vidogo Kama miradi ya kununua Ndege(Tumezipata na kukuwa nazo Ni kawaida), Wakenya wanajua athari za kutawaliwa na chama kimoja(enzi za kanu sawa na CCM ya Tanzania).

Wakenya kwa ujumla Ni wajanja kimaisha na kimasomo kuwaliko wenzao wote wa Mashariki ya Africa hivyo basi wanajielewa na sio Siri tunaposema Mkenya Yuko mbele ya Mtanzania kwa zaidi ya miaka 10. Najua myabisha na kutema matusi na povu but looking at the basics Kama vile;

Barabara- Mtoto wa Nairobi wa miaka 10 ameiona na kuitembelea dual carriageway ya lanes 12 kitu ambacho wengi wenu wazee wa zaidi ya miaka 40 hamjawahi kukiona. Mtoto Kama huyo akili zake zimefunguka kumliko mtoto wa Tz wa miaka 20.

Umeme- the last time Kenya ilikuwa na kiwango Cha umeme Kama huo wenu Ni takriban miaka zaidi ya kumi iliyopita... that's another reason why mtoto Mkenya hawezi elewa vipi Tz haina umeme wa kutosha.

Vyombo vya habari - hapa viko huru Kutangaza chochote so itakuwa vigumu kuelewa Ni vipi CCM inatawala katika vyombo vya habari ukilinganisha na Kenya ambapo tukio la mwisho Ni back in the 90s.

SGR - wakati nyinyi mnyang'ang'ana kukamilisha 200km Kenya yake tayari imekuwa ikifanya kazi for 3yrs Tena km 600.

Airlines - wakati nyinyi mnanunua dreamliner ya Kwanza, Kenya hata sikumbuki walinunua lini na ngapi Yani we have been used to Seeing KQ. Nakumbuka nilioenda advert yao nikiwa kijana mdogo wa miaka 8 that was back in 1993...Bongo mlikuwa wapi?

Bandari - Bandari ya Mombasa handles more cargo than all East African ports combined including those in lakes.

GDP - Ya Kenya = Tz+Ug+Rw+Burundi hapo Hakuna ubishi.

Elimu - Watanzania wanasomea hapa Kenya Ni wengi hata Kuna Uzi wa kusupport hapa JF.

Health - Life expectancy ya Kenya iko juu kuliko ya EAC Countries.

Ni mengi kuliko niliyoyataja but hata mkitaka kunitusi Ni sawa.
 
Did you remember to drop the mic on your way out 🤔
Ata hivyo hongera kwao. Wanapofanya vyema tuwape pongezi kwani maendeleo huleta ushindani 🙂
 
GDP ya Kenya 2015 ilikua $64.23B, uchumi uliongezeka kwa 5.7%, iweje mwaka uliofuata mkasema GDP imefikia $70.87B, badala ya $67.89B. Wadanganyifu wa kubwa ninyi, kila kitu mnadanganya ili kupata sifa za kijinga.
Nimegundua wewe Ni mbishi tu na unaichukia Kenya. Tangu nijiunge na Hii Forum sijapata kuona anything positive kuhusu Kenya kutoka kwako hata wakati death is involved. Mbona uko bitter hivi ama Mkenya alikut*mbe@ Bibi?
Nakuombea upone ugonjwa wa chuki na haswa Wivu ambao Ni kawaida kwa wanawake ama labda wewe Ni mwanamke tuweze tu kukuelewa kuwa saa zingine hedhi zinakusumbua Ila zako zipo kila siku...unahitaji kumuona daktari.
 
GDP ya Kenya 2015 ilikua $64.23B, uchumi uliongezeka kwa 5.7%, iweje mwaka uliofuata mkasema GDP imefikia $70.87B, badala ya $67.89B. Wadanganyifu wa kubwa ninyi, kila kitu mnadanganya ili kupata sifa za kijinga.
Formula unatumia ipi? Hili swali mbona unakwepa?
 
Formula unatumia ipi? Hili swali mbona unakwepa?
2015 GDP ilikua $64.23B, uchumi ulikua kwa 5.7%, ili kupata GDP ya 2016 unatumia formulae ifuatayo;

GDP ya 2016 = GDP ya 2015 +(5.7% ya GDP 2015)

GDP 2015 = $64.23B
5.7% ya $64.23B = 3.66B

$64.23 +$3.66 =$ 67.89B
 
2015 GDP ilikua $64.23B, uchumi ulikua kwa 5.7%, ili kupata GDP ya 2016 unatumia formulae ifuatayo;

GDP ya 2016 = GDP ya 2015 +(5.7% ya GDP 2015)

GDP 2015 = $64.23B
5.7% ya $64.23B = 3.66B

$64.23 +$3.66 =$ 67.89B
Hii ndio formula toka leo ujue GDP sio biashara ya Maandazi.

The following equation is used to calculate the GDP: GDP = C + I + G + (X – M) or GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports).
 
tume order A220 2 ambazo ni customized wide body ambazo ktk kila seat kutakuwa na PTV ..A220 nyingi zilizotolewa awali hazina PTV ila DELTA AIR peke yao ndio ndege zao aina ya A220 zina PTV ss ATCL wanafuata mkondo huo huo ..alafu the kwa kutambua ya kuwa tumeonyesha njia ...ET nao pia wame ona ubora wa izo ndege na wao wame order pia ss africa kutakuwa na airline operator wa 3 TU wanao miliki A220.... ambao ni ATCL, Egypt air na hao ET kama wata sign deal lao
This is a very stupid message

Not everyone sepaks airline language

What is PTV
 
Hii ndio formula toka leo ujue GDP sio biashara ya Maandazi.

The following equation is used to calculate the GDP: GDP = C + I + G + (X – M) or GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports).
Hahahaha, Hahahaha, uongo imedhihirika. Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
 
Back
Top Bottom