Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,184
- 24,687
Hahahaha, Maneno ya mtu aliyekata tamaa na mwenye roho mbaya, " last kicks of dying horse". Mlizoea kuwa peke yenu ktk biashara ya ndege ukanda huu, KQ ilishindwa hata kabla ya kufufuliwa kwa ATCL na Uganda Air, lawama zenu ni muendelezo wa roho mbaya na wivu wenu juu ya majirani zenu.
Kenya hakuna jirani yenu ambaye mnaelewana, Somalia, Ethiopia, South Sudan, na Uganda, wote hao mnakwaruzana nao. Mnasifika Africa nzima kwa ukatili wa kuuwana wenyewe kwa wenyewe na roho mbaya
Unaongea tuu hujajinu hoja!
Mnaishia kusema mnaonewa wivu,substance kwanini mnaonewa wivu hamtoi!
Mpo kama miwanawake ya Manzese huko,kila kitu eti mnaonewa wivu!
Mnapofanya stupid decisions za kibiashara mnapingwa mnaishia kuita watu eti Wakenya eti mnaonewa wivu!
Stupidity tupu!
Kila anaepingana na nyie ni Mkenya!?
Motherfvckers!