PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Tangu utotoni nimeambiwa the ultimate goal for a woman ni kuolewa.
Kusema kweli nilikuwa natamani ku-meet Mr Right and walking down the isle but what I've seen around me has made me wonder if marriage is for me.
Sitaki kuingia kwa maisha ya majonzi na majuto like most married women I know of.Ofisini kwetu yuko mama mmoja everyday analia kwa sababu ya domestic problems.
Sasa mimi ninajiuliza, haya ni maisha ya aina gani? Si heri yule mtu single who is living in peace na heshima zake than mwenye ameolewa na hayuko na stress zisizoisha? What is happening to the institution of marriage? Wako watu wanaozifurahia ndoa zao kweli? Ama nikuvumilia tuu nakuvaa smile fake wakilia moyoni?
Kusema kweli nilikuwa natamani ku-meet Mr Right and walking down the isle but what I've seen around me has made me wonder if marriage is for me.
Sitaki kuingia kwa maisha ya majonzi na majuto like most married women I know of.Ofisini kwetu yuko mama mmoja everyday analia kwa sababu ya domestic problems.
Sasa mimi ninajiuliza, haya ni maisha ya aina gani? Si heri yule mtu single who is living in peace na heshima zake than mwenye ameolewa na hayuko na stress zisizoisha? What is happening to the institution of marriage? Wako watu wanaozifurahia ndoa zao kweli? Ama nikuvumilia tuu nakuvaa smile fake wakilia moyoni?