Duh!...si mchezo.huyo chui atakua dume,wanyama wa kike as well as binadamu wa kike hua ni very fierce,ukikutana na simba dume alieshiba anaeza akakuacha lakini jike hapendi aone kiumbe kinauza sura mbele yake lazma akurarue,this apeals to ladies hasa wale wanaokaa na watoto wasio wao,msiwe mnawatesa just treat them as your own,
because ukipata mama wa kambo mwenye roho nzuri ni kitu adimu sana,but mababa wa kambo wengi wa kambo ni dont care