MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Tatizo hata wanawake wa siku hizi wanashawishi sana kwa utundu sisi full kulegea mwili mzima una anguka puuuu. Tudada tunatupia picha za kichokozi mara kalio, mara nido jelly, mara kamguu nasehemu zake za juu.... full tabu jamani. Sisi wanaume mashambulizi yametuzidi nguvu. Halafu kumbuka uwiano kati ya wanaume na wanawake kwa TZ haupo sawa. Its obvious mkashare little resources available.
Mh jamani haki kaasilimia kamoja tulikowazidi ndio mnatuweka roho juu kiasi hicho? Kuwa tukubali kushare ? Hapana bwana.....................