WhatsApp Kusitishwa kwa Baadhi ya Simu za iPhone, window na Android

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,282
Kwa mujibu wa tovuti ya WhatsApp, hadi kufikia tarehe 1 mwezi wa pili mwaka 2020, programu ya WhatsApp itakuwa inafanya kazi kwenye simu za iPhone zenye mfumo wa iOS kuanzia iOS 9 na kuendelea. Simu zote za Apple zenye kutumia mfumo wa iOS 8 na kushuka chini zote hazitokuwa na uwezo wa kutumia programu hiyo hadi kufika kipindi hicho.

Mbali na hayo, watumiaji wenye simu zenye mfumo wa iOS ambao umebadilishwa kwa namna yoyote yaani (jailbroken), nao pia hawatoweza kutumia programu ya WhatsApp kwa asilimia 100 kama hapo awali. WhatsApp imebainisha kuwa haizui simu za namna hiyo kutumia programu yake bali programu hiyo haitoweza kufanya kazi kwa asilimia 100 au kwa maneno mengine ni kwamba inaweza kufanya kazi au inaweza isifanye kazi.

Kwa watumiaji wa mfumo wa Android na mifumo mengine kama Window Phone, WhatsApp imebainisha kuwa hadi kufikia mwezi wa kumi na mbili mwaka huu 2019 WhatsApp itasitisha kabisa upatikanaji wa programu yake kwenye simu za Windows Phone na pia kwenye simu zenye mfumo wa Android 2.3 (Gingerbread) nazo hazitoweza kufanya kazi kufikia wakati kipindi hicho.

================================================

Whatsapp is one of the most widely used social media app around the world. A day without using it feels like "What have I missed today?". But sorry to say this, there are certain phones on which you won't be able to access Whatsapp from next year.
There is a list of phones in which the messaging app will not be supported. If you are an iPhone user, then also you are on the list.

From February 2, 2020
Whatsapp made it obligatory for all the iPhone users to have minimum iOS 9 running on their devices. Otherwise, the services will come to a halt shortly. For iPhones which are running on iOS 8 won't be able to further create a new account or recheck the current account.

These alterations and updates will be active from Feb. 2, 2020 -- which means, the iOS 8 users can use it freely without any inconvenience till 1st February 2020. So, it is suggested to upgrade your version to iOS 9 before the aforementioned deadline to avail messaging on WhatsApp without any disruption.
WABetainfo, who keeps constant updates and news about this messaging app and the first to spot this issue, took to Twitter and posted a tweet about this issue.

The tweet said: "No support for iOS 8. You can still use Whatsapp on iOS8, but if you reinstall the app, you will no longer able to verify your account. The iOS 8 compatibility will be fully removed from February 1, 2020. Windows Phone is confirmed to be deprecated after December 31, 2019".

Whatsapp will work only on these devices
In the recent updates, Whatsapp took to their FAQs blog and mentioned that it will only support phones which run on Android OS 4.03, above iOS 9+ and a few selected phones which run KaiOS 2.5.1, including JioPhone and JioPhone2.

As the messaging app is constantly working on to bring up new updates and features to the app, it requires phones with better performance and upgraded versions. Whatsapp, in its updates also mentioned that it will discontinue its support for Windows Phone OS after Dec. 31, 2019.

Phones that no longer will support Whatsapp
Whatsapp has taken this decision to discontinue its support to certain phones since the upcoming updates or any addition of new features will not be able to support the older version of Android and iOS in phones. So, the list of phones that will no longer support Whatsapp are – Nokia S40, Android versions 2.3.7 and older, iOS 8 and older versions.

Till Feb. 1, 2020
Android versions 2.3.7 and older, iOS 7, iOS 8 and older versions can use the app uninterruptedly till 1st February 2020. After that, it will no longer be supported to those devices as well.
No support for iOS 8!
You can still use WhatsApp on iOS 8, but if you reinstall the app, you will no longer able to verify your account.
The iOS 8 compatibility will be fully removed in February 1, 2020.
Windows Phone is confirmed to be deprecated after December 31, 2019. pic.twitter.com/JGRoSBAmMm
 
Hii ni kweli nina windows phone kila nikifungua WhatsApp inaleta alert kuwa WhatsApp itakuwa expired December,31.2019
 
Nadhani ni mambo ya support ndiyo yatasitishwa siku hiyo. Kwa hiyo wenye simu zenye hizo versions za OS wanaweza kutumia for sometimes longer hadi itakapogoma yenyewe kwa kukosa updates. That is my take.
 
Watu washajipanga ku replace WhatsApp

Kipindi kile cha banning watu walihamia teregram & viber
 
Back
Top Bottom