Whatsapp Group ya wapenzi wa zamani

Jibaba Bonge

JF-Expert Member
May 6, 2008
1,246
401
Kwenye tangazo la kampuni moja ya Simu, mdada anamlalamikia EX wake kwanini amefungua whatsapp group akali-name 'Ma-EX wangu'
Hili ni tangazo tu lakini just imagine posts za humo kwenye group zitakuwaje?
 
Kweli hili ni tangazo, lakini inaweza kutokea katika maisha ya kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom