Academic Teacher
Member
- Jun 8, 2016
- 8
- 22
''GB WhatsApp'' ni toleo la WhatsApp lililoboreshwa kutoka WhatsApp halisia na kuongezewa vitu vya ziada kama vile Kuficha kitiki pale ujumbe unapofika, kuona ujumbe uliofutwa, kuona status iliyofutwa na mengine mengi ndani yake.
Sasa ni zipi faida za kutumia GB WhatsApp?
Kutumia WhatsApp mbili kwenye simu moja.
Inakupa chaguo la yenyewe kujibu ujumbe kama ifanyavyo WhatsApp Business.
Kusoma jumbe zilizofutwa (Deleted Messages)
Machaguo mengi zaidi ya kuficha soga(chats).
Ku-download WhatsApp status.
Kubadili muundo wa maandishi.
Ki-uhalisia haina faida ila kwa baadhi ya watumiaji wametanabiasha sifa tajwa hapo juu kama faida kwao kimatumizi.
Hasara za kutumia GB WhatsApp
Haiko rasmi kwenye masoko ya kupakua Application (Playstore/Appstore) hivyo inakuitaji kwenye Website ili kuipakua.
Ni kinyume na sheria kwa maana hairuhusiwi kimatumizi.
Sio salama kwa maana ya mfumo wake, huweza kuchukua taarifa zako.
Account yako kufutwa na WhatsApp wenyewe, na hapa ndipo watu wengi wamekumbana na kadhia kwa kipindi cha hivi karibuni.
ACADEMIC TEACHER ONLINE hatushauri mtumiaji wa simu janja kutumia aina hii ya WhatsApp, kwani haiko salama kwa upande wa Faragha zako.
Sasa ni zipi faida za kutumia GB WhatsApp?
Kutumia WhatsApp mbili kwenye simu moja.
Inakupa chaguo la yenyewe kujibu ujumbe kama ifanyavyo WhatsApp Business.
Kusoma jumbe zilizofutwa (Deleted Messages)
Machaguo mengi zaidi ya kuficha soga(chats).
Ku-download WhatsApp status.
Kubadili muundo wa maandishi.
Ki-uhalisia haina faida ila kwa baadhi ya watumiaji wametanabiasha sifa tajwa hapo juu kama faida kwao kimatumizi.
Hasara za kutumia GB WhatsApp
Haiko rasmi kwenye masoko ya kupakua Application (Playstore/Appstore) hivyo inakuitaji kwenye Website ili kuipakua.
Ni kinyume na sheria kwa maana hairuhusiwi kimatumizi.
Sio salama kwa maana ya mfumo wake, huweza kuchukua taarifa zako.
Account yako kufutwa na WhatsApp wenyewe, na hapa ndipo watu wengi wamekumbana na kadhia kwa kipindi cha hivi karibuni.
ACADEMIC TEACHER ONLINE hatushauri mtumiaji wa simu janja kutumia aina hii ya WhatsApp, kwani haiko salama kwa upande wa Faragha zako.