Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Duh! hiki kipaji chako ni cha ukweli.
hiyo kitu nakusimulia hadi milio ya risasi, ngumi, teke, muungurumo wa gari, ndege, baiskelii, alipokunja uso na mie nakunja, alipocheka na mie nacheka, kama kuna mtu alilia kwenye movie, nalia pia, ... we acha tu!