<br />Nawafagilia sana wanawake wa kihaya wana kila sifa ya kuwa mwanamke mpaka kunako shughuli, sina pingamizi kabisa!!!
<br /><br /><br />
<br /><br />
wapi wewe wauza nanihii tu hao hapa mjini dar na swaga zao kujichubua ka wakongo mi wananiboa ka nini.
Why not wapare na kwanini utaje kabila badala ya sehemu kama ulivyoendelea kutaja hapo mbele???????
May be nikuulize wewe kwanini umekua sensitive kuhoji kwan wahaya sio kabila mbona usimuulize mwandishi kwanini asiandike watu wa kagera...usifanye maisha magumu we jamaa
<br />Na analala kwenye kochi la watu 3 na kuongea kwa sauti kuuuuuuubwa ya majigambo, haaaaaaaaaa haaaaaaaa jamani mweeeeeeeeeeee khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa teeeeeeeeeee