What do u know about ip adress

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Kwa wale wenye uelewa kidogo wa mambo computer network nadhani tunajua umuhimu na IP address. Iwe ni LAN ,WAN au WWW basi ili pc ,simu au kitu chochote kiunganishwe na internet basi lazima iwe na Internet IP address.

Nilikuwa najaribu kujikumbusha hii subject kwa kusoma online nikaona ni bora nilete changamoto/ maswali niliyokuwa nayo tulimishane na kukosoana kwa pamoja.

Nimeweza kupata majibuya badhi ya mambo lakini mengine yamenitatizoa naleta hapa kwa ajili yakushaena kuelimika zaidi


  1. What is IP ?
Two Core functions of ip are identification and location addressing.
Read IP address - Wikipedia, the free encyclopedia

2. Difference between IPv4 and IPv6

Major difference is Total addresses are available in each version
IPv4 is 32 bits it can support up to 2 power 32 = 4,294,967,296 adresses
IPv6 is 128 bits, can support up to 2 power 128 =340282366920938463463374607431768211456

This show that there will be more tha enough internet address in IPv6 for every device/node

I was reading some articles and failed to understand when they say IPv6 will be more secure than IPv4. HOW??? Any one with better explanation help me

3. Who is responsible for allocation of Iinternet IP Adress globally

The name of anorganisation is called IANA . Read
IANA — About the Internet Assigned Numbers Authority
Internet Assigned Numbers Authority - Wikipedia, the free encyclopedia

Changamoto

1.How many IP v4 address is Tanzania Allocated. and how many have we used.?

Je taarifa hizi ni sahihi
Country IP Blocks » Select Formats
Major IP Address Blocks For Tanzania wanaonyesha tumepewa address 90,112. Rwanda wana 151, XXX.( Major IP Address Blocks For Rwanda) wametuzidi

2.When will IPv6 start being used officially or when will IPv4 stop being used.?


3. How is it possible for one Internet IP adress being used by more than computer /mobile
phone.What is technology /technique behind ?


4. Do u knowthe IP adress used by your mobile phone/Modem? If so do u know who is the ISP to your Mobile phone company ?


Karibu kwa nyongeza , kukosoa kurekebisha, kuelimishana kuhusu IP adress
 
Kwa wale wenye uelewa kidogo wa mambo computer network nadhani tunajua umuhimu na IP address. Iwe ni LAN ,WAN au WWW basi ili pc ,simu au kitu chochote kiunganishwe na internet basi lazima iwe na Internet IP address.

Nilikuwa najaribu kujikumbusha hii subject kwa kusoma online nikaona ni bora nilete changamoto/ maswali niliyokuwa nayo tulimishane na kukosoana kwa pamoja.

Nimeweza kupata majibuya badhi ya mambo lakini mengine yamenitatizoa naleta hapa kwa ajili yakushaena kuelimika zaidi


  1. What is IP ?
Two Core functions of ip are identification and location addressing.
Read IP address - Wikipedia, the free encyclopedia

2. Difference between IPv4 and IPv6

Major difference is Total addresses are available in each version
IPv4 is 32 bits it can support up to 2 power 32 = 4,294,967,296 adresses
IPv6 is 128 bits, can support up to 2 power 128 =340282366920938463463374607431768211456

This show that there will be more tha enough internet address in IPv6 for every device/node

I was reading some articles and failed to understand when they say IPv6 will be more secure than IPv4. HOW??? Any one with better explanation help me

3. Who is responsible for allocation of Iinternet IP Adress globally

The name of anorganisation is called IANA . Read
IANA — About the Internet Assigned Numbers Authority
Internet Assigned Numbers Authority - Wikipedia, the free encyclopedia

Changamoto

1.How many IP v4 address is Tanzania Allocated. and how many have we used.?

Je taarifa hizi ni sahihi
Country IP Blocks » Select Formats
Major IP Address Blocks For Tanzania wanaonyesha tumepewa address 90,112. Rwanda wana 151, XXX.( Major IP Address Blocks For Rwanda) wametuzidi

2.When will IPv6 start being used officially or when will IPv4 stop being used.?


3. How is it possible for one Internet IP adress being used by more than computer /mobile
phone.What is technology /technique behind ?


4. Do u knowthe IP adress used by your mobile phone/Modem? If so do u know who is the ISP to your Mobile phone company ?


Karibu kwa nyongeza , kukosoa kurekebisha, kuelimishana kuhusu IP adress


Happy X mas to all

ngija nikaperuse kwanza, ila maada poa sana.
 
sikia kaka internet ilianza kutumika jeshini uko marekani mpaka sasa ina tumika ulimwengu kote wanao shikilia service hii ni malekani kwa hiyo makampuni makubwa ununua service kupitia shirika hilo kwa afrika tuna tegemea mfano afrika net ,benson kwa tanzania kwa hiyo hii upa kama vodacom,tigo na wengine wengi hawa wanao nunua wana kuwa wana tumia code kwa mfano code ya tanzania 256 ambayo ina pelekea kumpa kundi la wa watu wanao pata service ya internet nchii hiyo kuwa na ip address kama unavyo ona una tumia p.o box yako ikiwa na code ya tanzania asante
edjizzo@yahoo.com
www.chizicomputer.blogspot.com
0712484995(chizicomputer)
 
sikia kaka internet ilianza kutumika jeshini uko marekani mpaka sasa ina tumika ulimwengu kote wanao shikilia service hii ni malekani kwa hiyo makampuni makubwa ununua service kupitia shirika hilo kwa afrika tuna tegemea mfano afrika net ,benson kwa tanzania kwa hiyo hii upa kama vodacom,tigo na wengine wengi hawa wanao nunua wana kuwa wana tumia code kwa mfano code ya tanzania 256 ambayo ina pelekea kumpa kundi la wa watu wanao pata service ya internet nchii hiyo kuwa na ip address kama unavyo ona una tumia p.o box yako ikiwa na code ya tanzania asante
edjizzo@yahoo.com
www.chizicomputer.blogspot.com
0712484995(chizicomputer)

Nisiwe mnafiki 99% ya uliyoandika ama hayaeleweki au hayana ukweli . Kwa hiyo uwe unapata muda wa kusoma na kujaribu kuelewa unachopost . Mfano

  • internet ilianza kutumika jeshini uko marekani. Ni kweli
  • wanao shikilia service hii ni malekani- hii si kweli
  • makampuni makubwa ununua service kupitia shirika hilo- service gani hio mpaka zinunuliwe marekani
  • wengi hawa wanao nunua wana kuwa wana tumia code kwa mfano code ya tanzania 256 ambayo ina pelekea kumpa kundi la wa watu wanao pata service ya internet nchii hiyo kuwa na ip address kama unavyo ona una tumia p.o box yako ikiwa na code ya tanzania asante- Kwanza Code ya Tanzania ni 255. na si 256 na sijakuelewa ukisema kununua internet unahitaji international dialing code.

Pia uwe unajaribu kuweka vituo kwenye maelezo yako ili utusaidia sisi wenye vichwa vigumu kuelewa.

Otheriwise nimeona kuna thread ulianzisha unalalamika kuwa tunapondana.
Kwa style hii nakuhakikishia usishangae kukosolewa./kupondwa.. ....As long as mtu anakuponda au kkukosoa kwa kukupa +ve challenge basi hiyo inakubalika
 
IPv6 ikitumika kwa kia kifaakinachtumia internet basi then hata mambo ya tracking na tracing yatakuwa rahisi zaidi kuliko ilivyo sasa. Maana kwa IPv6 kila equipment itakuwa ina uniques internet IP adress
 
Kwa ufupi
Ip address ni namba zenye bit 32,zilizo kwenye mfumo wa 1 na 0,namba hizi hutolewa big internet service providers(Tier1) wao wanawauzia (Tier2 au Tier3) pia ni ISP lakini walio mbali na internet backbone,so public ip zinazotolewa ndizo wateja hutumia kutoka kwa local ISP wako, na kama watumia shared bandwith kuna kitu kinaitwa NAT(hiki huwezesha private ip kushare public ip,b'se outage ya public ip)
 
Kwa ufupi
Ip address ni namba zenye bit 32,zilizo kwenye mfumo wa 1 na 0,namba hizi hutolewa big internet service providers(Tier1) wao wanawauzia (Tier2 au Tier3) pia ni ISP lakini walio mbali na internet backbone,so public ip zinazotolewa ndizo wateja hutumia kutoka kwa local ISP wako, na kama watumia shared bandwith kuna kitu kinaitwa NAT(hiki huwezesha private ip kushare public ip,b'se outage ya public ip)

Mi huwa naona mi-namba tu imeandikwa. Kwa mfano nikitaka kutengeza LAN ya PC 5 nitumie vigezo gani kuandika hizo number??
IP
Subnet mask
gateway na
prefered DNS server
 
Good,sasa itategemea kama una mpango wa baadae kuongeza zaidi PC zaidi ya hzo 5,tumia Classfull Class C network,192.168.1.0
subnet mask 255.255.255.0,
default gateway(exit interface ya hzo pc zako kwa jina lingine) itakuwa 192.168.1.1
Kuhusu DNS-hyo ni kama ukiweka website i.e Google pawe na dns server itakayobali Google to repective ip address sasa mawili kama hyo dns server huna unaweza tumia uliyopewa na local ISP,if u can't even get that u can search for free DNS ip
Nadhani hii ndio njia rahisi mana hyo nyungine inahitaji uelewa na iko complex
 
Kwa wale wenye uelewa kidogo wa mambo computer network nadhani tunajua umuhimu na IP address. Iwe ni LAN ,WAN au WWW basi ili pc ,simu au kitu chochote kiunganishwe na internet basi lazima iwe na Internet IP address.

Nilikuwa najaribu kujikumbusha hii subject kwa kusoma online nikaona ni bora nilete changamoto/ maswali niliyokuwa nayo tulimishane na kukosoana kwa pamoja.

Nimeweza kupata majibuya badhi ya mambo lakini mengine yamenitatizoa naleta hapa kwa ajili yakushaena kuelimika zaidi

  1. What is IP ?
Two Core functions of ip are identification and location addressing.
Read IP address - Wikipedia, the free encyclopedia

2. Difference between IPv4 and IPv6

Major difference is Total addresses are available in each version
IPv4 is 32 bits it can support up to 2 power 32 = 4,294,967,296 adresses
IPv6 is 128 bits, can support up to 2 power 128 =340282366920938463463374607431768211456

This show that there will be more tha enough internet address in IPv6 for every device/node

I was reading some articles and failed to understand when they say IPv6 will be more secure than IPv4. HOW??? Any one with better explanation help me

3. Who is responsible for allocation of Iinternet IP Adress globally

The name of anorganisation is called IANA . Read
IANA — About the Internet Assigned Numbers Authority
Internet Assigned Numbers Authority - Wikipedia, the free encyclopedia

Changamoto

1.How many IP v4 address is Tanzania Allocated. and how many have we used.?

Je taarifa hizi ni sahihi
Country IP Blocks » Select Formats
Major IP Address Blocks For Tanzania wanaonyesha tumepewa address 90,112. Rwanda wana 151, XXX.( Major IP Address Blocks For Rwanda) wametuzidi

2.When will IPv6 start being used officially or when will IPv4 stop being used.?


3. How is it possible for one Internet IP adress being used by more than computer /mobile
phone.What is technology /technique behind ?


4. Do u knowthe IP adress used by your mobile phone/Modem? If so do u know who is the ISP to your Mobile phone company ?


Karibu kwa nyongeza , kukosoa kurekebisha, kuelimishana kuhusu IP adress


Somo zuri, swali zuri angalau inawapa watu kushughurisha akili zao na wenye ufahamu mzuri wanakuja na majibu muafaka, that's why I love JF, tunapata elimu pia. Si mtaalamu sana wa mambo hayo japo nayaelewa kwa kiwango changu, wacha nifuatilie mijadala ya waliobobea kwenye hii kitu.
 
yaa! i think inawezekana rwanda wakatuzid maana wanatumia computa zaid yetu, imagine kama kila mwanafunzi kwao kapewa komputer watoto wa shule za msing wamepewa zipo kama midoli vile
 
Kwa wale wenye uelewa kidogo wa mambo computer network nadhani tunajua umuhimu na IP address. Iwe ni LAN ,WAN au WWW basi ili pc ,simu au kitu chochote kiunganishwe na internet basi lazima iwe na Internet IP address.

Nilikuwa najaribu kujikumbusha hii subject kwa kusoma online nikaona ni bora nilete changamoto/ maswali niliyokuwa nayo tulimishane na kukosoana kwa pamoja.

Nimeweza kupata majibuya badhi ya mambo lakini mengine yamenitatizoa naleta hapa kwa ajili yakushaena kuelimika zaidi


  1. What is IP ?
Two Core functions of ip are identification and location addressing.
Read IP address - Wikipedia, the free encyclopedia

2. Difference between IPv4 and IPv6

Major difference is Total addresses are available in each version
IPv4 is 32 bits it can support up to 2 power 32 = 4,294,967,296 adresses
IPv6 is 128 bits, can support up to 2 power 128 =340282366920938463463374607431768211456

This show that there will be more tha enough internet address in IPv6 for every device/node

I was reading some articles and failed to understand when they say IPv6 will be more secure than IPv4. HOW??? Any one with better explanation help me

3. Who is responsible for allocation of Iinternet IP Adress globally

The name of anorganisation is called IANA . Read
IANA — About the Internet Assigned Numbers Authority
Internet Assigned Numbers Authority - Wikipedia, the free encyclopedia

Changamoto

1.How many IP v4 address is Tanzania Allocated. and how many have we used.?

Je taarifa hizi ni sahihi
Country IP Blocks » Select Formats
Major IP Address Blocks For Tanzania wanaonyesha tumepewa address 90,112. Rwanda wana 151, XXX.( Major IP Address Blocks For Rwanda) wametuzidi

2.When will IPv6 start being used officially or when will IPv4 stop being used.?


3. How is it possible for one Internet IP adress being used by more than computer /mobile
phone.What is technology /technique behind ?


4. Do u knowthe IP adress used by your mobile phone/Modem? If so do u know who is the ISP to your Mobile phone company ?


Karibu kwa nyongeza , kukosoa kurekebisha, kuelimishana kuhusu IP adress


Ip means internet protocol.If we want to communicate two or more system we need a ip address. Each system has unique ip address. ip address consists of 4 bytes seperated by dots. Your IP address is assigned by an ISP or by yourself.Here's an example of what an IP address might look like: 192.168.1.1 .

Two types of ip address we are using:
1) Internal ip address
2) External ip address
If you want to check your internal ip address on Windows use the following methods:
1)start->Run->cmd->type ipconfig
2)If you want to check your External ip address you can visit this site Ip-details.com
Here you can search ip,IP Location,Country,Latitude and Longitude details and etc.
 
Back
Top Bottom