Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Kwa wale wenye uelewa kidogo wa mambo computer network nadhani tunajua umuhimu na IP address. Iwe ni LAN ,WAN au WWW basi ili pc ,simu au kitu chochote kiunganishwe na internet basi lazima iwe na Internet IP address.
Nilikuwa najaribu kujikumbusha hii subject kwa kusoma online nikaona ni bora nilete changamoto/ maswali niliyokuwa nayo tulimishane na kukosoana kwa pamoja.
Nimeweza kupata majibuya badhi ya mambo lakini mengine yamenitatizoa naleta hapa kwa ajili yakushaena kuelimika zaidi
Read IP address - Wikipedia, the free encyclopedia
2. Difference between IPv4 and IPv6
Major difference is Total addresses are available in each version
IPv4 is 32 bits it can support up to 2 power 32 = 4,294,967,296 adresses
IPv6 is 128 bits, can support up to 2 power 128 =340282366920938463463374607431768211456
This show that there will be more tha enough internet address in IPv6 for every device/node
I was reading some articles and failed to understand when they say IPv6 will be more secure than IPv4. HOW??? Any one with better explanation help me
3. Who is responsible for allocation of Iinternet IP Adress globally
The name of anorganisation is called IANA . Read
IANA — About the Internet Assigned Numbers Authority
Internet Assigned Numbers Authority - Wikipedia, the free encyclopedia
Changamoto
1.How many IP v4 address is Tanzania Allocated. and how many have we used.?
Je taarifa hizi ni sahihi
Country IP Blocks » Select Formats
Major IP Address Blocks For Tanzania wanaonyesha tumepewa address 90,112. Rwanda wana 151, XXX.( Major IP Address Blocks For Rwanda) wametuzidi
2.When will IPv6 start being used officially or when will IPv4 stop being used.?
3. How is it possible for one Internet IP adress being used by more than computer /mobile
phone.What is technology /technique behind ?
4. Do u knowthe IP adress used by your mobile phone/Modem? If so do u know who is the ISP to your Mobile phone company ?
Karibu kwa nyongeza , kukosoa kurekebisha, kuelimishana kuhusu IP adress
Nilikuwa najaribu kujikumbusha hii subject kwa kusoma online nikaona ni bora nilete changamoto/ maswali niliyokuwa nayo tulimishane na kukosoana kwa pamoja.
Nimeweza kupata majibuya badhi ya mambo lakini mengine yamenitatizoa naleta hapa kwa ajili yakushaena kuelimika zaidi
- What is IP ?
Read IP address - Wikipedia, the free encyclopedia
2. Difference between IPv4 and IPv6
Major difference is Total addresses are available in each version
IPv4 is 32 bits it can support up to 2 power 32 = 4,294,967,296 adresses
IPv6 is 128 bits, can support up to 2 power 128 =340282366920938463463374607431768211456
This show that there will be more tha enough internet address in IPv6 for every device/node
I was reading some articles and failed to understand when they say IPv6 will be more secure than IPv4. HOW??? Any one with better explanation help me
3. Who is responsible for allocation of Iinternet IP Adress globally
The name of anorganisation is called IANA . Read
IANA — About the Internet Assigned Numbers Authority
Internet Assigned Numbers Authority - Wikipedia, the free encyclopedia
Changamoto
1.How many IP v4 address is Tanzania Allocated. and how many have we used.?
Je taarifa hizi ni sahihi
Country IP Blocks » Select Formats
Major IP Address Blocks For Tanzania wanaonyesha tumepewa address 90,112. Rwanda wana 151, XXX.( Major IP Address Blocks For Rwanda) wametuzidi
2.When will IPv6 start being used officially or when will IPv4 stop being used.?
3. How is it possible for one Internet IP adress being used by more than computer /mobile
phone.What is technology /technique behind ?
4. Do u knowthe IP adress used by your mobile phone/Modem? If so do u know who is the ISP to your Mobile phone company ?
Karibu kwa nyongeza , kukosoa kurekebisha, kuelimishana kuhusu IP adress