Wakuu na wasomi wabobezi, Najaribu kufikiri nini cha kuandika katika kukamilisha andiko la Masters katika maswala ya Fedha. nimependa kujua ninini key challenges zinazopata Banks za tanzania.
Mkuu wala usipate shida pale UDSM na hata Mzumbe{sina hakika sana na vyuo vingine juu ya kitabu hiki} library nenda ka google au mtumie mwanafunzi wa hapo kama wewe hunakibali akutafutie kitabu kilichoandikwa na Dr.ulingeta mbamba wa udism kitakua msaada mkubwa sana kwako pia huo utaona mambo kama techknologi jinsi ilivo chalenji n.k.
All the best.